Biashara/Uwekezaji mara nyingi huangalia nyanja nyingi...mfano tukiichukulia DODOMA kama yenyw ipo center ya mikoa mingi sana....hvyo kwenye uwekezaji wako unaeza amua pia kufanya import en export kulingana na unachotaka kukifanya kwa hii mikoa jiran iliyo zunguka jiji la DODOMA....kuhusu fursa...
Wakubwa poleni na msiba...na mwenyezi mungu atubariki tupite salama katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza moja ya muhimili muhmu wa taifa letu.....turudi kwenye hoja..karibuni tujuzane ni zipi fursa zipatikanazo jiji la MWANZA ambazo zinaweza fanyika nje ya mkoa huo....yani zikaweza kufanyika...
Kama mjuavyo wana JF, kuna mdudu korofi (kunguni) ambae hata ukiamua kumuachia chumba ili aspate chakula kwa muda wa miezi miwili unamkuta yupo tu anakusubiri. Sasa kama unaijua dawa nzuri au njia yoyote ya kuwateketeza hawa viumbe msaada tafadhali kwa manufaa ya wengine.
Karibuni
Habari brothers and sisters.....nna mtaji wa million 1 pia Niko home tu meanwhile muda nnao....sehemu nipo Dodoma makulu mnanishauri nifanye nini..... Ahsanten
ungesema eneo ulilipo ingekua atleast nafuu kwa wanaokushauri ila pia napenda kushauri wam JF kua sio lazma uanze biashara ukiwa peke yako unaweza mtafuta mtu mnaeendana ktk mawazo mkachanga na kukuza mtaji halafu mkaanza kufanya harakat pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.