TrOjAn_95
Member
- Jul 20, 2019
- 20
- 14
Wakubwa poleni na msiba...na mwenyezi mungu atubariki tupite salama katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza moja ya muhimili muhmu wa taifa letu.....turudi kwenye hoja..karibuni tujuzane ni zipi fursa zipatikanazo jiji la MWANZA ambazo zinaweza fanyika nje ya mkoa huo....yani zikaweza kufanyika katika mkoa kama DODOMA na penginepo