Habari zenu wapendwa.
Mchele huo super kilo 1600 ukichukua kuanzia kilo 20 tunakufanyia 1500
Delivery utachangia kidogo press order yako karbuni sana.
Kwa mawasiliano tupigie kwa no 0713336158
Kuna mdogo wangu alifanya mtihani wa form 2 2004 hakufanya mtihani wa form 4 Tz. Alienda uganda akamaliza form 4 lakini hakupata cheti na sasa anataka kuitumia no yake ya form 2 kufanyia mtihani wa form 4 itawezekana?
Habari zenu wana JF. Ndugu yangu amepata nafasi ya kuvolunteer kwenye NGO flan ipo kigoma inaitwa livingsoul sasa hajawahi fika huko na amejaribu kuangalia profile ya NGO haijampa maelekezo ya kutosha sasa anataka kujua kuhusu allowance na uhakika wa ajira baada ya kuvolunteer yeye anatokea Dodoma.
Habari zenu wakuu. Kuna ndugu yangu aliomba kazi kampun flan ambayo makao makuu yake yako canada. Sasa hivi karibun akatumiwa email pamoja na online interview na akaelezwa kuwa awe tayari kwenda training canada kabla ya kaz kuanza akawajibu sawa wakamtumia form mbali mbali akazijaza akazituma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.