Mi nahisi ni vigumu kugombana kwa7b humo ndani wanakua wameoana wao kwa wao hvyo wanajuana na hamna race nyingine.
Pia wanaona bora waungane na kuwa kitu kimoja kwa7b wako kwenye nchi ya watu.kuliko kufarakana na kutofautiana
Mwisho Nawaza hv nikweli kuwa wanaishi hvyo hvyo kma tunavyo waona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.