Mimi nimeongea basics tu ....baada ya kujua kwanini wamama wanaishi muda mrefu kuliko wababa, sisi tunaambizana hamna kushirikisha watu ila wao ni kutoa ya moyoni kwa watu wao. Awe mzazi , rafiki au saluni... sisi tunayabeba hatimaye tunaishia kwenye ulevi, pressure na maradhi ya...
Katika hili nimegundua kila mmoja ana style yake ya kutoboa, tuishi vyema na watu, tuwe na bidii katika shughuli zetu, tusiache ibada.
MCHEPUKO ni muhimu kwa mwanaume kamili ..... viva masela, viva wala kimasihara wa Jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.