Nimeipenda hii sentence ya kuwakamata harakaharaka
Mijambazi ina boa sana watu tuna amka saa 4:30 alfajiri kutafuta maisha alafu lijitu linakuvizia getini lina kupora na saazingine yana ua kabisa, wacha ya nyang'anye bunduki harakaharakatu, tena kwa mwendo kasi.
Itakuwaje kwa wagonjwa ambao hawana ndugu wa kuwapa chakula, tafadhali jamani njaa pia niugonjwa.
Zoezi hili liangaliwe kwa kina linaweza kuathiri baadhi ya wagonjwa.
Leo hii hii nilikuwa natoka home naelekea job nikipitia daraja la kigamboni , baada ya kuvuka tu kwa mbele kidogo mida ya saa 06:9 hivi asubuhi, palikuwa na watu kadhaa wanatembea kwa miguu.
Niliwapita na mbele kidogo tena nika muona mtoto mmoja hivi mwanafunzi na kavaa flana yake ya bluu, nika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.