mimi pia nipo na washkaj zangu huku Turkey wakristo na hawatamani kurudi bongo
Tatzo naona hapo kweny comments watu wanashauriana hvyo kwa style hii Tanzania watu watakua wanalalamika ugonjwa mwingine kumbe wanaumwa ugonjwa mwingne
#######IDEAS ZA UDINI ZIMETAWALA SANA YANI MPAKA KERO...
yes tafta hizo pesa ukasome mkuu halazimishwi mtu zaten nadhan watu wa ENGINEERING na MEDICINES gharama za masomo zipo juu pia bongo TECHNOLOGY ipo poooooor so ndo nadhan ni bora kusoma DEVELOPED COUNTRY kama TURKEY:smile-big: ila kwa hizo mambo hata Kigoma kasome tu mkuu.
Watanzania mnaongoza kwa kudanganyana kwenye mitandao ya kijamii ila kama una akili zako huwez kusema hivyo
Wanatoa course zote inategemea na ufaulu wako katika vyuo bora vyenye ushindani kimataifa sio unaukua unaangalia upande mmoja tu najua wengi mnawaza kuhusu UDINI ndo maana Tanzania...
hata kma una mdogo wako au ndugu yako kamaliza form four ana GPA 3.6 au zaid pia kichwa kimetulıa Apply.Ataweza tu naamini.kuna watu tupo nao huku hawajuı Advanced Physics halaf wapo vzr tu;
Nafasi za kusoma Uturuki chini ya udhamini wa serikali ya Uturuki(FULL SCHOLARSHIPS) kwa UNDERGRADUATE,MASTERS na PhD. Katika fani zote.
Applications ni kuanzia tar 25.02.2015 hadi 31.03.2015. Pia applications zote zinafanyika ONLINE katika website: Ana Sayfa
Utakuta website ipo kwa Kituruki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.