NAHITAJI MSAADA WENU MARAFIKI.
Mimi nimejiunga na huduma ya CRDB BANK ya Internet Banking sio Sim banking/Mobile banking nimejiunga na Internet Banking huduma yao ya Online.
Sasa leo nilikua natazama TBC1 kuna tangazo lao CRDB likawekwa wameanzisha huduma mpya ya kununua vitu na kukopa online kama magari, boda boda na bajaji hata viwanja na nyumba huduma hii ipo katika mfumo wa Mobile Vision ila inatumika kwa wateja walio jiunga na Internet Banking tu. wakatoa na tovuti ambayo inapatikana huduma hiyo, tovuti waliyoitoa ni hii hapa http://bit.ly/112iOmm nikaiandika pembeni na kuifungua nika login nakwenda katika ukurasa wao wa vitu wanavyo uza kiukweli nimevutiwa sana kwani magari wanauza kwa bei nzuri na hata mikopo yao ya magari ni mizuri.
Tatizo nimeshindwa kuelewa sehemu moja kuna sehemu wananambia submit form with identity copy hapo ndio sijaelewa ni copy ipi ya kitambulisho inatakiwa? Kwa alie wahi kutumia hii huduma anisaidie tafadhali.
NAHITAJI MSAADA WENU MARAFIKI.
Mimi nimejiunga na huduma ya CRDB BANK ya Internet Banking sio Sim banking/Mobile banking nimejiunga na Internet Banking huduma yao ya Online.
Sasa leo nilikua natazama TBC1 kuna tangazo lao CRDB likawekwa wameanzisha huduma mpya ya kununua vitu na kukopa online kama magari, boda boda na bajaji hata viwanja na nyumba huduma hii ipo katika mfumo wa Mobile Vision ila inatumika kwa wateja walio jiunga na Internet Banking tu. wakatoa na tovuti ambayo inapatikana huduma hiyo, tovuti waliyoitoa ni hii hapa http://bit.ly/112iOmm nikaiandika pembeni na kuifungua nika login nakwenda katika ukurasa wao wa vitu wanavyo uza kiukweli nimevutiwa sana kwani magari wanauza kwa bei nzuri na hata mikopo yao ya magari ni mizuri.
Tatizo nimeshindwa kuelewa sehemu moja kuna sehemu wananambia submit form with identity copy hapo ndio sijaelewa ni copy ipi ya kitambulisho inatakiwa? Kwa alie wahi kutumia hii huduma anisaidie tafadhali.
Kapotea njia huyondo utamuuliza hivi babu?
Ntampongeza Jean alikubalika xana had nawazug xo nampa big up japo naamin alikuwa tape tuu
hawa washenzi wananiudhiHuu uandishi wa Kijinga sana.
xo?????!
xana????!
Huyu Babu utamuambia nini ukimuona sasa hivi? ni hilo tu