Recent content by Track47

  1. T

    Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

    Kiufupi Bongo ni Waizi kishenzi. Hasa Mzigo Ukifika Posta Unaweza Nunua Kitu Buku Huko china Tena Kwa free shipping Unaambiwa Ulipe 3000-5[emoji23][emoji23] Sema Siku Hizi Inategemea na msafirishaji Kuna Baadhi Huwa haipitiii Posta Ina Pitia Kwa Jaamaa wa Speedaf Sema unapochagua Pale Shipping...
  2. T

    Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

    Ingekuwa Poa Ungetoa Maelezo ya Kutosha Kuhusu Hicho unachoeleza Achana na Propaganda Hizo Kuna Nchi Zina Migogoro yao Tangu enzi na Ina sababu zake na Wala sivyo hivyo mnavyoaminishwa au Kuona.Naamini Kila Kitu Kina Prons na Cons zakeHebu tuwekeee Ukiitoa Hiyo sababu bubu ya Kutoka Nhi ya...
  3. T

    Naomba ushauri wa fursa za biashara zinazopatikana Kahama

    Ahsante swali la msingi sana..Chanzo cha Kuchagua Kahama ni Kwenye Pita Pita Pita zangu tu japo kwa Muda mfupi nikalinganisha na Sehemu chache Ambazo nimepita,ila jambo la kwanza kwa Upande wangu nilivutiwa nacho ilikuwa kwenye Hasa Garama za Maisha kwa ujumla kuanzia vyakula,Mahala pakuishi na...
  4. T

    Naomba ushauri wa fursa za biashara zinazopatikana Kahama

    Habarini wana JF, nitangulize shukrani za dhati kwenu wote. Nahitaji kuanza maisha yangu mjini Kahama. Natambua kuna wazoefu na wenyeji wanaoijua vizuri. Nina mtaji mdogo tu wa milioni moja. Je, kitu gani naweza fanya hapo kwa huo mtaji hata kama ni kidogo japo nipate cha kufanya kuliko...
  5. T

    Msaada wa kutoa virusi kwenye laptop

    Shukrani sana mkuu ngoja Nifanye nione inakuajee.
  6. T

    Msaada wa kutoa virusi kwenye laptop

    Jamani nimrkutana na changamoto Natumia Windows 7 ultimate 64bit.haina Antivirus.Juzi hapa wameniingilia Kibaya walichonifanyia Wameingia Kwenye Software Zanguu zote ambazo hazikuwa kwenye Zip file wamezibadilisha Zote tu 0kb.Na hata nikipakua Software yoyote ile mtandaoni Ikimaliza kupakua nayo...
  7. T

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Mmmmh..!Shida sio BAKAPU Tatizo nini kiko hapo kwenye Hizo Data a Aliye iba anahitaji nini..Pia kumbuka hizo ni Taarifa Muhimu ambazo sio kila mtu wa Kuziona..Ni sawa unaenda vitani Adui yako akuchoome hifadhi ya Silaha au ajue kwenye Ghala yako kuna nini..Nakwambia Utapigwa vibaya Mnooo..
  8. T

    CHADEMA acheni kutetea majizi na mafisadi

    Kujiandikisha Sawa ila kupiga Kura ni Jambo jingine..# nguvu kubwa Akili ndogo
  9. T

    Ukisikia mwanamke ana kauli hizi, stay away

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. T

    Natafuta kazi

    Kweli kabisa mkuu sema tulio wengi tumeshajijengea njia pekee ni kuajiriwa tu..Kibaya zaidi ni pale unapoenda mtaa unakutana na Bango Linasema Tuna Tengeneza na Kuwe Program kwenye Computer.Ukitafuta huyo anae fanya hivyo baadhu ni mautundu utundu ila wameamua kujiajiri kwa njia hiyo ila akina...
Back
Top Bottom