joka dogo
Senior Member
- Aug 13, 2018
- 123
- 86
Ndyo maaana ,comment yangu ya awali nimesema "nilimtafutia MTU vyeti alikuwa navyo lakini hakuwa vizuri katka vitendo nilionekana kiazi ...So sad! Graduate wa Computer science unatafuta kazi utafikiri umegraduate ulinzi wa majumbani! Unatuambia unauzoefu wa sales, na aliyesoma BCom nae asemeje? Shusha cv ya kueleweka, sema unajua kuprogram, network installation, system administration, sema unajua linux server, window server, oracle, mysql n.k hebu tengeneza hata online games utalipwa kwa google ads.
