Ni moja ya kozi ambayo ni nzuri lakini pia ina fursa nyingi mbali na kuwa mwalimu na usikatishwe tamaa na mtu kikubwa angalia nn kinafaa binafsi nakusihi uende ikiwezekana nenda udsm au makumila ipo arusha.
kwa mfumo wa Tz kwetu ili uende chuo kikuu lazima upate angalau Gpa ya 3 but wengi huanzia tatu ________inaoneka wakufunzi wako waliamua kukubolongea mambo
Download setup ya hiyo printer haf uangalie driver za PC yako kama zpo sawa kama zina viulizo zi insintoo kwa kutumia program ya driver solution ambayo haitumii internet au utumie driver booster ambayo inatumia internet ukimaliza instoo setup yako hap itakaaa poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.