Kaka tayari umeshafeli. Kiongozi bora hupimwa kwa maono na mtazamo wa kimaendeleo. Hapo bado hujaainisha utalifanyia nini Taifa kwa hiyo ngazi. Jipambanue kidogo tuone uwezo wako wa kuwaletea maendeleo wananchi. Hapo umejipambanua kiuongozi tu
Wakuu heshima zenu,
Kuna hili kundi la kigaidi, nimeshindwa kuwaelewa hawa jamaa wanataka nini hapo Nigeria, mana kila siku wanaua mamia kwa mamia, mwenye kuwa na ufahamu zaidi na hili kundi atujuze
Nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.