"NDOA" YA UKAWA Yavunjika rasmi Kahama

"NDOA" YA UKAWA Yavunjika rasmi Kahama

TataMadiba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
9,870
Reaction score
5,755
Makubaliano ya vyama
vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) , juu ya Wagombea wao kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge , yamevunjika rasmi katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga na kusababisha mgombea wake.
Katibu Mwenyezi wa NCCR-Mageuzi Wilayani humo , Leonard Jilitu alisema suala la kuachiana majimbo na Kata halipo kwa sababu hawajawahi kukaa na kukubaliana.
Mwenyekiti wa CUF, Wilayani humo, Bw.Stephen Masanja , alisema Umoja huo haupo Mjini Kahama kwenye suala la kusimamisha mgombea mmoja kwa sababu CHADEMA waligoma makubaliano ya kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge.


Source: Majira.
2015-08-26 11.54.45.jpg
 
Mhhh, kwa hyo nini kimeamuliwa hapo.Ina mana Lembeli hatosimama peke yake ndani ya ukawa
 
Impact ya taarifa ni 0.0 katafute habari nyingine mbaya ya ukawa hii bado ndogo sana haina madhara.
 
UKAWA is a pain in Chama Cha Mapinduzis' a.ss ndiyomaana kila kukicha mnaota ndoto za alinacha.
 
Bora wasimame zaidi ya mmoja...hamkawii kutorosha wapinzani...
 
hivi nyinyi team dodoki mbona wakali kiasi hiki, ndo maana tunawaambia nyie ni malofa na wapumbavu san, how comes hampendi kukosolewa?
 
Makubaliano ya vyama
vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) , juu ya Wagombea wao kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge , yamevunjika rasmi katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga na kusababisha mgombea wake.
Katibu Mwenyezi wa NCCR-Mageuzi Wilayani humo , Leonard Jilitu alisema suala la kuachiana majimbo na Kata halipo kwa sababu hawajawahi kukaa na kukubaliana.
Mwenyekiti wa CUF, Wilayani humo, Bw.Stephen Masanja , alisema Umoja huo haupo Mjini Kahama kwenye suala la kusimamisha mgombea mmoja kwa sababu CHADEMA waligoma makubaliano ya kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge.


Source: Majira.
View attachment 280490


Kwenu ccmuni hakuna mvuto tena?!!, mbona mnawashwa sana na ishu za UKAWA kuliko zenu, vipi?
 
Makubaliano ya vyama
vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) , juu ya Wagombea wao kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge , yamevunjika rasmi katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga na kusababisha mgombea wake.
Katibu Mwenyezi wa NCCR-Mageuzi Wilayani humo , Leonard Jilitu alisema suala la kuachiana majimbo na Kata halipo kwa sababu hawajawahi kukaa na kukubaliana.
Mwenyekiti wa CUF, Wilayani humo, Bw.Stephen Masanja , alisema Umoja huo haupo Mjini Kahama kwenye suala la kusimamisha mgombea mmoja kwa sababu CHADEMA waligoma makubaliano ya kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge.


Source: Majira.
View attachment 280490

Lembeli ni kila kitu
 
hivi nyinyi team dodoki mbona wakali kiasi hiki, ndo maana tunawaambia nyie ni malofa na wapumbavu san, how comes hampendi kukosolewa?

Tangu lini ngiri akawa na akili ya kumshauri mwanadamu?
 
Makubaliano ya vyama
vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) , juu ya Wagombea wao kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge , yamevunjika rasmi katika Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga na kusababisha mgombea wake.
Katibu Mwenyezi wa NCCR-Mageuzi Wilayani humo , Leonard Jilitu alisema suala la kuachiana majimbo na Kata halipo kwa sababu hawajawahi kukaa na kukubaliana.
Mwenyekiti wa CUF, Wilayani humo, Bw.Stephen Masanja , alisema Umoja huo haupo Mjini Kahama kwenye suala la kusimamisha mgombea mmoja kwa sababu CHADEMA waligoma makubaliano ya kuachiana Kata na Majimbo ya Ubunge.


Source: Majira.
View attachment 280490

Akili zako hazina tofauti na za ngiri
 
Back
Top Bottom