Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa...
Ahahahaha napajua the bistro, na wiki ilopita nlikuwa dom nlikuwa na mgonjwa benjamin, ila dodoma na penyewe pamewaka aisee. Kitambaa zote nna experience nazo sababu nimekaa tabata muda mrefu sana, ile ya sinza saivi ndio balaa sema malaya wa kutoshaa, ya tabata kabla hawajafunga mashoga na...
Watoto wa manjunju wa kutosha aloo acha kabisa miyeyusho sana marneo yale sema siku ambazo hakuna events ndio kuna utulivu kidogo unaweza ukakaa ukaangalia hapa mipira mipira watu wengi saivi wanapenda hapa barabaran hapa sheli ya mwanamboka kwa pemben kuna sehemu inatwa las karinyo ndio...
😂😂😂😂😂 alafu pale masai jumma nne sikuiz kuna bendi eeh ? Mana wahuni wa mwananyamala wakutosha bend au baikoko ? Unakuta nje wahuni kibao wamezagaa! Anyways mwanamke bwana awe na haiba ya kike na wakiume awe na haiba ya kiume
hakupendi akimpata anaempenda anakupiga chini, amini kwamba…saivi kapigwa chini na aliekuwa anampenda yupo lonely sasa anatafuta pakupoozea upweke wake.Mfano Kuna mwanamke mmoja nilimkula kimasihara nikapita hivi akapita vile juz ananipigia simu ananiambia yupo single kaachana na bwana ake yan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.