Recent content by toughlendon_1

  1. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Police ni wangese sana, sawa mmemkamata kwanini magunia watupe mtaroni ?
  2. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Yan mpishi anakwambia uende kwakwe ukaibe chakula ujipikie, kwanini asipike akakugawia ? Kwanini yeye kajitoa kwenye hayo mapambano
  3. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    Niko na ishues right now, ila tutaendelea keshoo
  4. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    We jamaa bwana, Yan inaonekana umesoma shule lakin unachoniudhigi Mimi unaongoza kwa kutetea ujinga , kwanini mkuu ? Hivi Hawa madogo mnataka wakue na reference zenu Mzee ? Unakosea Hawa madogo....wafundisheni kulia wakiwa na huzuni, wafundisheni kusema ukweli hata kama Dunia nzima ikiwapinga...
  5. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole

    Swali la msingi kabisa, Kwanini wasiojilikana huwa wanamteka au kumpiga risasi mtu anayeisema SERIKALI YA CCM Kwa namna ambavyo Wana CCM hawataki ?....Kuna uhusiano gani Kati ya wasiojulikana na CCM au Police ?....
  6. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    CUT THE BULSHIT MAN, And you think this is an excuse?....ivi ukiwa CCM kichwani kunakuwa na kitu gani ?...Ushajiuliza kwanini technical fault kama hiyo haiwez kutokea CHINA?..Okay imeshatokea, what was it exactly ?...Tunatoka tujue the technicality ya Tatizo ili watu wanaoweza hayo mambo waweze...
  7. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    Hakuna nchi ya kiboya kama hii, Yan hata maelezo yatakuwa yakijinga tu MARK MY WORDS....
  8. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Video: Jinsi Energy drinks zinavyo chakaza mwili na kuua nguvu za kiume mazima.

    Nguvu za kiume ni nini ? Lakin sababu ni jukwaa tu ila nasema chichiem ni mamaku sqna
  9. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Floyd Mayweather, kutoka utajiri wa $ 1.2 Billion (Tshs Trilioni 3) mpaka kuwa somo la umuhimu wa nidhamu ya fedha. Madeni na kesi vyamwandama

    Hov ukimwona na watu wengi basi ni Bey na Blue 😂😂😂, jamaa anaiheshimu Sana fweza
  10. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Aliponiambia yeye na mimi basi. Nikamwambia sawa haina shida. Nlichomfanya hatonisahau kamwe

    Alaaniwe alieanzisha kauli ya ubaya ubwela, we jamaa umeharisha nyumba nzima. Umekunya nyumba nzima daaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂, Dunia Ina watu wa hovyoo sanaaaa
  11. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Floyd Mayweather, kutoka utajiri wa $ 1.2 Billion (Tshs Trilioni 3) mpaka kuwa somo la umuhimu wa nidhamu ya fedha. Madeni na kesi vyamwandama

    Jamaa alikuwa anashinda Monaco na alikuwa na convoy ya watu kama 20 ivi. Hela izi
  12. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Japan waendelea na utamaduni wao wa kusafisha chumba cha kubadilishia nguo baada ya mechi

    Kwanini wajapani wanapenda kutengeneza origami ?...they left an Origami.
Back
Top Bottom