Tukisema CCM na vibaraka wao kina Lukasi ni mamaku na wangese huwa mnabisha, joka likianza kula damu halichagui hata siku moja, tukae Kwa kutulia..wasenge hawataki kabisa kitu inaitwa katiba mpya na kama tutaitaka inabidi tuingie barabarani...kale kakenani tumekaweka kwenye...
Aisee ni sampuli ya wale watu wanafki wanafki...we subiri tu utaona wanavyokuja na script zao walizozidiscus kwenyeagroup Yao ya chama wazisambaze kama propagandas....
Kila siku tunawaambia ccm chama cha majangili hamwelewi, ndugai mwenyewe walimfyeka, pole pole walimfyeka, huyu nae anaenda kufyekwa...ukionekana tu unatetea maslahi ya wengi unakwenda na maji, this country is being run by a group of very few goons accompanied by crazy morons who are brainwashed...
Ccm Haina cha kumfundisha mtu yeyeto duniani, CCM Ina mazero brain...Sina chama ila ccm hauwezi kuwa chama pilot hapa Tanzania , Ina mabogus wengi sana na hichi kilichotokea ni stupidity ya kiwango cha juu sana. Just imagine kisa tu mtu kaongelea maslahi ya wengi eti ndio katimuliwa 😂😂😂, CCM...
Me nashangaa sana, huku kwetu wamejaa majitu kama Lukasi kesho utasikia wamepewa kazi ya kumsifia aloteuliwa na walivyokuwa manyumbu wote huwa Wana script ilofanana, matahira wengi sana huku Tanganyika...
We jamaa bwana, Yan inaonekana umesoma shule lakin unachoniudhigi Mimi unaongoza kwa kutetea ujinga , kwanini mkuu ? Hivi Hawa madogo mnataka wakue na reference zenu Mzee ? Unakosea Hawa madogo....wafundisheni kulia wakiwa na huzuni, wafundisheni kusema ukweli hata kama Dunia nzima ikiwapinga...
Swali la msingi kabisa, Kwanini wasiojilikana huwa wanamteka au kumpiga risasi mtu anayeisema SERIKALI YA CCM Kwa namna ambavyo Wana CCM hawataki ?....Kuna uhusiano gani Kati ya wasiojulikana na CCM au Police ?....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.