Recent content by toughlendon_1

  1. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania CCM jiulizeni Kama Makamu wa Rais wa nchi anafukuzwa kwa kuwa mkweli wewe Mzalendo bado upo CCM!

    Tukisema CCM na vibaraka wao kina Lukasi ni mamaku na wangese huwa mnabisha, joka likianza kula damu halichagui hata siku moja, tukae Kwa kutulia..wasenge hawataki kabisa kitu inaitwa katiba mpya na kama tutaitaka inabidi tuingie barabarani...kale kakenani tumekaweka kwenye...
  2. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Namtafuta Lukas Mwanshambwa na wenzake

    😂😂😂😂 aiseee
  3. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Kwenye group za whatsapp na statuses wazanzibari wamefurahi mnooo

    Aisee ni sampuli ya wale watu wanafki wanafki...we subiri tu utaona wanavyokuja na script zao walizozidiscus kwenyeagroup Yao ya chama wazisambaze kama propagandas....
  4. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tayari ameshanyang'anywa diplomatic passport, simu zake zote, na sasa haijulikani alipo.

    Kila siku tunawaambia ccm chama cha majangili hamwelewi, ndugai mwenyewe walimfyeka, pole pole walimfyeka, huyu nae anaenda kufyekwa...ukionekana tu unatetea maslahi ya wengi unakwenda na maji, this country is being run by a group of very few goons accompanied by crazy morons who are brainwashed...
  5. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Jifunzeni toka CCM how to take quick actions. Lembrose Mchome, Said Issa Mohamed na Freeman Mbowe wanasubiri nini ndani ya chama?

    Ccm Haina cha kumfundisha mtu yeyeto duniani, CCM Ina mazero brain...Sina chama ila ccm hauwezi kuwa chama pilot hapa Tanzania , Ina mabogus wengi sana na hichi kilichotokea ni stupidity ya kiwango cha juu sana. Just imagine kisa tu mtu kaongelea maslahi ya wengi eti ndio katimuliwa 😂😂😂, CCM...
  6. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Kwenye group za whatsapp na statuses wazanzibari wamefurahi mnooo

    Me nashangaa sana, huku kwetu wamejaa majitu kama Lukasi kesho utasikia wamepewa kazi ya kumsifia aloteuliwa na walivyokuwa manyumbu wote huwa Wana script ilofanana, matahira wengi sana huku Tanganyika...
  7. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tunamhoji Peter Madeleka kwa Tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu

    Mkuu unajua " contemp of court" ni nini na inafanyaje kazi ?....
  8. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Police ni wangese sana, sawa mmemkamata kwanini magunia watupe mtaroni ?
  9. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Yan mpishi anakwambia uende kwakwe ukaibe chakula ujipikie, kwanini asipike akakugawia ? Kwanini yeye kajitoa kwenye hayo mapambano
  10. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    Niko na ishues right now, ila tutaendelea keshoo
  11. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

    We jamaa bwana, Yan inaonekana umesoma shule lakin unachoniudhigi Mimi unaongoza kwa kutetea ujinga , kwanini mkuu ? Hivi Hawa madogo mnataka wakue na reference zenu Mzee ? Unakosea Hawa madogo....wafundisheni kulia wakiwa na huzuni, wafundisheni kusema ukweli hata kama Dunia nzima ikiwapinga...
  12. toughlendon_1

    JamiiForums Tanzania Leo nimepata very classified information kutoka Tanzania kuhusiana na kutekwa Kwa Hamphley Polepole

    Swali la msingi kabisa, Kwanini wasiojilikana huwa wanamteka au kumpiga risasi mtu anayeisema SERIKALI YA CCM Kwa namna ambavyo Wana CCM hawataki ?....Kuna uhusiano gani Kati ya wasiojulikana na CCM au Police ?....
Back
Top Bottom