Mkuu soma heading vizuri uelewe... Kwanini unajibia kitu hujakielewa ?....Anyways mimi kila siku huwa nasema combination ya confidence na ujinga ni kitu kibaya sana kikimkuta binadamu.
Hommie, hold on, our people are catching bullets every day. Police ambao ni serial killers wana AK47, wananchi wa kawaida hatuna kitu... F mass shootings and gun violence .....WE NEED GUNS....Unaona hawa viongozi wanaoropoka ujinga ujinga, wote wale wanabunduki....Na sisi tunataka hizo silaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.