We jamaa bwana, Yan inaonekana umesoma shule lakin unachoniudhigi Mimi unaongoza kwa kutetea ujinga , kwanini mkuu ? Hivi Hawa madogo mnataka wakue na reference zenu Mzee ? Unakosea Hawa madogo....wafundisheni kulia wakiwa na huzuni, wafundisheni kusema ukweli hata kama Dunia nzima ikiwapinga...
Swali la msingi kabisa, Kwanini wasiojilikana huwa wanamteka au kumpiga risasi mtu anayeisema SERIKALI YA CCM Kwa namna ambavyo Wana CCM hawataki ?....Kuna uhusiano gani Kati ya wasiojulikana na CCM au Police ?....
CUT THE BULSHIT MAN, And you think this is an excuse?....ivi ukiwa CCM kichwani kunakuwa na kitu gani ?...Ushajiuliza kwanini technical fault kama hiyo haiwez kutokea CHINA?..Okay imeshatokea, what was it exactly ?...Tunatoka tujue the technicality ya Tatizo ili watu wanaoweza hayo mambo waweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.