Recent content by toughlendon_1

  1. toughlendon_1

    Nipeni mbinu kwa huyu manzi, asiende kizembe

    Kmmk 😂😂😂😂
  2. toughlendon_1

    "Manipulated Man" kiatabu cha Ester Vilar. Je, umekisoma?

    Nimesoma page 3 za mwanzo, watu wanajua kuandika aisee, ntakisoma kitabu chote nione
  3. toughlendon_1

    Nilitembea Baba Mkwe, halafu mtoto wake ndio anataka kunioa nifanyaje?

    Kweli inawezekana sina akili ila Madam hilo ni swali , why are you offended ?
  4. toughlendon_1

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa...
  5. toughlendon_1

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Ahahahaha napajua the bistro, na wiki ilopita nlikuwa dom nlikuwa na mgonjwa benjamin, ila dodoma na penyewe pamewaka aisee. Kitambaa zote nna experience nazo sababu nimekaa tabata muda mrefu sana, ile ya sinza saivi ndio balaa sema malaya wa kutoshaa, ya tabata kabla hawajafunga mashoga na...
  6. toughlendon_1

    Hatimaye matapeli umehamia Whatsapp

    Mapuuz hayo, yana ujinga mwingi sana nikipata time ntakuja kueleza upuuz wao mwingine,
  7. toughlendon_1

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😂😂😂😂😂 wamechezea kudadeki
  8. toughlendon_1

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Watoto wa manjunju wa kutosha aloo acha kabisa miyeyusho sana marneo yale sema siku ambazo hakuna events ndio kuna utulivu kidogo unaweza ukakaa ukaangalia hapa mipira mipira watu wengi saivi wanapenda hapa barabaran hapa sheli ya mwanamboka kwa pemben kuna sehemu inatwa las karinyo ndio...
  9. toughlendon_1

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    😂😂😂😂😂 alafu pale masai jumma nne sikuiz kuna bendi eeh ? Mana wahuni wa mwananyamala wakutosha bend au baikoko ? Unakuta nje wahuni kibao wamezagaa! Anyways mwanamke bwana awe na haiba ya kike na wakiume awe na haiba ya kiume
  10. toughlendon_1

    Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    hakupendi akimpata anaempenda anakupiga chini, amini kwamba…saivi kapigwa chini na aliekuwa anampenda yupo lonely sasa anatafuta pakupoozea upweke wake.Mfano Kuna mwanamke mmoja nilimkula kimasihara nikapita hivi akapita vile juz ananipigia simu ananiambia yupo single kaachana na bwana ake yan...
  11. toughlendon_1

    Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    Facebook ina watumiaji billion tatu kwa mwezi yan robo ya dunia kwa mwez wanatumia fb, na ndio social media platform kubwa kuliko zote duniani
  12. toughlendon_1

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Vinaniboaga sana yan utakuta vimevaa mlegezo yan vinajifanya vihuni kinoma 😂😂😂
  13. toughlendon_1

    Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

    Brother lea watoto sasa sio kufurahia tu mambo kama hayo, walee katika maadili mazuri,
Back
Top Bottom