Recent content by totopack

  1. totopack

    Riwaya: I died to save my President

    Imetulia Sana hii kazi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Kwa Aibu iliyotokea pale polis na wadai nilihisi hii ilikuwa soln mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Hata kuanzia hapo unaweza kumshauri pia Sent using Jamii Forums mobile app
  4. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Kwa kweli alijitahidi,nawafahamu sana toka muda sema nje kabadirika sidhani kama alikuwa hivi Sent using Jamii Forums mobile app
  5. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Na mm ndo nilimshauri maana ilikuwa ni aibu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Muda wa kutosha tu kama miaka 4 Sent using Jamii Forums mobile app
  7. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Ana ajira Sent using Jamii Forums mobile app
  8. totopack

    Hii ndoa inapumulia mashine, ushauri tafadhali

    Nina rafiki/ ndugu ambaye nilisimamia harusi yake(best man) miaka mitano iliyopita, kwa sasa wana watoto wawili. Tatizo lilianza pale mume alipogundua mke ana madeni sana, anadaiwa na watu mbalimbali (wanaume kwa wanawake) jumla shilingi million 14 ambazo alikuwa anaweka dhamana kadi ya gari...
  9. totopack

    Weekend Story! Glory Be To God!

    Sent using Jamii Forums mobile app
  10. totopack

    Ushauri: Mke wangu toka aende kujifungua kwao, sasa mtoto ana mwaka na nusu hajarudi

    Hii kauli ni chungu ila ipokee hivohivo "MTOTO ANABABAAKE MWINGINE NA SIO WW" Sent using Jamii Forums mobile app
  11. totopack

    Mbunge wa TEMEKE, Abdallah Mtolea (CUF) alala Korokoroni, Bima ya gari yamponza

    Matumizi mabovu ya dhamana,kwamba abahisi yy yupo juu ya sheria? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. totopack

    Mawasiliano yamekuwa magumu sana

    kwan ukipiga simu isipopokelewa si unatakiwa usubirie uliempigia akikuta missedcall atakutafuta,ww umepiga sana ndo maana utasubiria sana by the way "ukiona manyoya.........."
  13. totopack

    Riwaya: Ufukwe wa Madagascar

    Duuu!!bado?
Back
Top Bottom