Nina rafiki/ ndugu ambaye nilisimamia harusi yake(best man) miaka mitano iliyopita, kwa sasa wana watoto wawili.
Tatizo lilianza pale mume alipogundua mke ana madeni sana, anadaiwa na watu mbalimbali (wanaume kwa wanawake) jumla shilingi million 14 ambazo alikuwa anaweka dhamana kadi ya gari...
kwan ukipiga simu isipopokelewa si unatakiwa usubirie uliempigia akikuta missedcall atakutafuta,ww umepiga sana ndo maana utasubiria sana by the way "ukiona manyoya.........."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.