Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,665
- 21,099
Nini adhabu ya mtu kukimbia polisi? Polisi waache majukumu yao wakufute wewe hadi kwako, wachome mafuta yao na muda halafu bado wakupige fine tu? Itakua ukiwa unaongea na mwanao halafu akaondoka kwa dharau mbele yako kabla hamjamaliza unampa zawadiVyombo vya polisi vinamchafulia sana Magufuli na kumtengenezea sifa mbaya.
Lengo nadhani kila mtu atii sheria sio kukamata kwa kujisikia kisa raisi anataka wafanye kazi yao bila kumuacha mvunja sheria yoyote.
Civil matters ya kukamata gari tu mtu anaenda jela