Atuganile Mmari
Senior Member
- Mar 14, 2018
- 158
- 252
Wasalaam jf,
Nina mahusiano na mkaka huyu ambaye tunapendana sana na Mungu akipenda tunatarajia kuoana kabla ya mwezi wa saba
Toka tumeanza mahusiano hatukuwahi kufanya mapenzi na yeye ndie alikuwa anasisitiza sana tusifanye mpaka tutakapooana, nikawa najiuliza huyu mtu ana tatizo gani, nikawa namfanyia vituko namchezea chezea nione kama anaweza kusimamisha nikaona anaweza, nikabaki najiuliza tatizo bila majibu.
Majuzi hapa kaja akiniomba tufanye nikaona isiwe kesi tuko kwenye hatua za mwisho tuingie kwenye ndoa, tukaingia chumbani nakili huyu kaka hana matatizo yoyote ya kimaumbile lakini hakuna anachokijua kwenye mapenzi, yaani anataka apande tu kama kuku, yaani vile romance hata kidogo tu hajui kama kuna kitu kama hicho! Naamini hakuna mkamilifu na hakuna aliyezaliwa anajua.
Nampenda sana ananipenda pia naapa sitokuja kumsaliti nataka nimsaidie lakini nawaza atanifikiliaje? Je, sitamtia wasiwasi juu ya uaminifu wangu kwake? Nimeanzisha tabia ya kumuwekea romantic movie tunaangalia pamoja lakini sioni kama anaelewa!
Wadau naombeni ushauri kama kuna njia yoyote naweza kuitumia nimsaidie huyu mwenzangu aelewe japo kidogo tu angalau namna kumuandaa mwanamke asili yake ni mtu wa kanda ya kati huko!
NB: hili sio tangazo la kutafuta mwanaume naombeni msaada tu wa njia ninazoweza kuzitumia kumsaidia huyu mume wangu mtarajiwa.
Asanteni
Nina mahusiano na mkaka huyu ambaye tunapendana sana na Mungu akipenda tunatarajia kuoana kabla ya mwezi wa saba
Toka tumeanza mahusiano hatukuwahi kufanya mapenzi na yeye ndie alikuwa anasisitiza sana tusifanye mpaka tutakapooana, nikawa najiuliza huyu mtu ana tatizo gani, nikawa namfanyia vituko namchezea chezea nione kama anaweza kusimamisha nikaona anaweza, nikabaki najiuliza tatizo bila majibu.
Majuzi hapa kaja akiniomba tufanye nikaona isiwe kesi tuko kwenye hatua za mwisho tuingie kwenye ndoa, tukaingia chumbani nakili huyu kaka hana matatizo yoyote ya kimaumbile lakini hakuna anachokijua kwenye mapenzi, yaani anataka apande tu kama kuku, yaani vile romance hata kidogo tu hajui kama kuna kitu kama hicho! Naamini hakuna mkamilifu na hakuna aliyezaliwa anajua.
Nampenda sana ananipenda pia naapa sitokuja kumsaliti nataka nimsaidie lakini nawaza atanifikiliaje? Je, sitamtia wasiwasi juu ya uaminifu wangu kwake? Nimeanzisha tabia ya kumuwekea romantic movie tunaangalia pamoja lakini sioni kama anaelewa!
Wadau naombeni ushauri kama kuna njia yoyote naweza kuitumia nimsaidie huyu mwenzangu aelewe japo kidogo tu angalau namna kumuandaa mwanamke asili yake ni mtu wa kanda ya kati huko!
NB: hili sio tangazo la kutafuta mwanaume naombeni msaada tu wa njia ninazoweza kuzitumia kumsaidia huyu mume wangu mtarajiwa.
Asanteni