Recent content by Totokanko

  1. T

    KOVA: Tumejipanga kwa ULINZI MKALI UNAOONEKANA na USIOONEKANA

    Tafadhali kova usirudie kuwataja tena hao jamaa.polisi hamna uwezo wa kuwazibiti.nyie mtaishia kukamata wauza gongo
  2. T

    Rav 4 nina 5mil

    Nina 5mil natafuta rav 4 haraka
  3. T

    Dr. Norman Sigalla: Mkuu wa Wilaya jiji la Mbeya

    Mbona unaonekana kama una ugomvi nae.
  4. T

    Picha: Waingereza waliomwagiwa tindikali Zanzibar

    Tatizo wazenj hadi leo hawajui adui yao ni nani
  5. T

    Mjadala wa katiba mpya; Mtikila yuko wapi?

    Wewe subiri utashangaa kaibukia mahakamani kudai Tanganyika
  6. T

    Mwigizaji JB apanga kugombea ubunge mwaka 2015...

    Nasubili tu bado wema nae atataka kugombea.
  7. T

    Naomba Nipokeeni mwanenu

    Aksanten ndugu zangu najihis mwenyeji sasa
  8. T

    Untold story: Ndugai na kifo cha afisa wa TRA Wilaya ya Kongwa

    Namfaham nyamboga tulikua nae mtaa wa jacaranda baadae akahamia pale forest mpya mbeya wakati huo yupo TRA mbeya.jamaa alikua mpole na mpenda haki sana.habari hii imenisikitisha sana.RIP BROTHER
  9. T

    Naomba Nipokeeni mwanenu

    Habari wanajf mi mgeni humu naomba mnipokee
Back
Top Bottom