augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Huyt bw. Kwanza sina ugomvi naye,ila ningependa kutoa wasifu wake.kwa wanaomfahamu watakubaliana nami.
MKIMUONA UTADHAN NI KIJANA WA MIAKA ISHIRIN NA KITU AU 30..kumbe 50 na kitu.Atajitambulisha kwa kwa mbwembwe,atataja na kiwango cha elimu alichonacho dr.Robo tatu ya hotuba zake hutumia kujielezea sifa zake na ndugu na jamaa aliowasaidia katija maisha yake.kueleza vyeo alivyoshika na alivyonavyo.Atawanadi ndugu zake kama wapo.
Robo ya hotuba ataongea vitu vya ajabu kama kejeli,maudhi nk.ataongea kidogo mambo ya msingi ,alafu atamalizia kwa kuanza kunadi vitabu alivyotunga na bei ya kila kitabu.
Anapoongea utajiuliza maswali haya
1.hiv huyu ni kweli dr.?
2.hiv anastahil ukuu wa wilaya?
Asanten na kwaherin.
MKIMUONA UTADHAN NI KIJANA WA MIAKA ISHIRIN NA KITU AU 30..kumbe 50 na kitu.Atajitambulisha kwa kwa mbwembwe,atataja na kiwango cha elimu alichonacho dr.Robo tatu ya hotuba zake hutumia kujielezea sifa zake na ndugu na jamaa aliowasaidia katija maisha yake.kueleza vyeo alivyoshika na alivyonavyo.Atawanadi ndugu zake kama wapo.
Robo ya hotuba ataongea vitu vya ajabu kama kejeli,maudhi nk.ataongea kidogo mambo ya msingi ,alafu atamalizia kwa kuanza kunadi vitabu alivyotunga na bei ya kila kitabu.
Anapoongea utajiuliza maswali haya
1.hiv huyu ni kweli dr.?
2.hiv anastahil ukuu wa wilaya?
Asanten na kwaherin.