Recent content by Torquemada

  1. T

    Kupoteza vyeti

    Dodoma Necta haipo?
  2. T

    Ninatafuta mwanamke mtu mzima sana 50+

    Mcheki FaizaFoxy
  3. T

    Kupoteza vyeti

    Kama nipo Dodoma naenda Necta Dar au Huku wizara ya elimu?
  4. T

    Kupoteza vyeti

    Ahsante mkuu!
  5. T

    Kupoteza vyeti

    Thanks and Amen!
  6. T

    Kupoteza vyeti

    Ila tuna mfumo mbovu sana kwenye hili suala la upotevu wa vyeti. Kama taarifa zangu yaani matokeo yangu yapo mtandaoni na index namba nilitumia kuombea chuo na mkopo, washindwe kweli kuthibitisha ndio mimi?
  7. T

    Kupoteza vyeti

    Ahsante mkuu! Vilikuwa kwenye bag la PC, niliviacha kwenye bajaji Simfahamu dereva anapaki wapi lakini alinichukua akiwa anaenda mwenge. Chuoni hawana namna ya kunisaidia kusajiliwa kweli?
  8. T

    Kupoteza vyeti

    Wakuu habarini Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa Nimeshindwa kufanya registration wakuu Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa. Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa [emoji24][emoji24]
  9. T

    Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

    We Bwege kweli. Nani kakudanganya DPP ana nguvu kuliko Muhimili wa Mahakama?
  10. T

    Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

    Ha ha ha, uje nimecheka kama mazuri vile. Am coming babes[emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom