Ila tuna mfumo mbovu sana kwenye hili suala la upotevu wa vyeti.
Kama taarifa zangu yaani matokeo yangu yapo mtandaoni na index namba nilitumia kuombea chuo na mkopo, washindwe kweli kuthibitisha ndio mimi?
Ahsante mkuu!
Vilikuwa kwenye bag la PC, niliviacha kwenye bajaji
Simfahamu dereva anapaki wapi lakini alinichukua akiwa anaenda mwenge.
Chuoni hawana namna ya kunisaidia kusajiliwa kweli?
Wakuu habarini
Nimepoteza cheti cha form four na cha kuzaliwa
Nimeshindwa kufanya registration wakuu
Naomba mnipe mawazo, nina stress mpaka nahisi kufa.
Dirisha la usajili ndio hilo linafungwa [emoji24][emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.