Recent content by Torch

  1. Torch

    TANZIA Askofu wa Jimbo Katoliki Kondoa, Mhashamu Bernadine Mfumbusa afariki Dunia

    R.I.P baba askofu my former lecturer SAUT
  2. Torch

    Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    Rest easy bro
  3. Torch

    Mundende Imepigwa Marufuku, Ninaenda Kuaibika. Nitakulaje Papuchi?

    Mkuu nipe connection ya mundende sijawahi tumia nipo serious
  4. Torch

    Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    "Mungu ameamua ugomvi, bahari imetulia" NAPE 2022
  5. Torch

    Wahenga hawa ninkina nani? Anzia kulia kwenda kushoto

  6. Torch

    Serikali ina mpango gani na mbuyu ulioanguka kata ya Kimanga?

    BaraBara imefungwA Tufanyaje raia!?
  7. Torch

    Serikali ina mpango gani na mbuyu ulioanguka kata ya Kimanga?

    Wanabodi kwa hapa Tabata Kimanga njia ya kwenda machimbo ukitokea Chang'ombe, kituo cha Mbuyuni Mbuyu ulioanguka hapa una siku nne. Serikali ipo wapi? Njia mbadala ni ipi? Hiyo ni njia yetu ya kila siku
  8. Torch

    Foleni Barabara ya Tabata muda huu

    Hata means ya kupark hamna ulipo ndio hapohapo.
  9. Torch

    Foleni Barabara ya Tabata muda huu

    Wakuu kama unatokea segerea, kimanga, chang'ombe kwenda nje ya tabata kausha kabisa Foleni yake sio ya nchi hii.. Pia kama unatokea nje ya tbt kausha natoka segerea nipo tabata shule zaidi ya masaa 2 sasa
Back
Top Bottom