Uzi tayari?Mjombake Mwendazake nje
😂😂😂😂 kaZi kweli kweli.Uzi tayari?
Yapo wazi sana. Unakwama wapi ndugu?Mbona majina ya makatibu wakuu na manaibu yamefichwa sana...shida ni nini?
Mwenye mkeka aiweke hapa
Inaonekana, Mama kaifanyia kazi hoja hiiMjombake Mwendazake Dotto James katupwa nje. Sukuma gang in big trouble
Hivi Lwajabe yuko wapi??Hajabaki kama alivyo View attachment 2074174
Exactly,walikuwa wanamuhujumu RaisOndoa takataka hizo kabisa.