Market kwa ss bongo imeshuka,biashara wanaonufaika ni wale wenye capital kubwa ambao commodities zao zina demand kubwa kwa consumers.
Tunafanya vipi kuongeza market ni serikali na private sector kuongeza ajira kwa maana vipi waajiriwa wengi ndo consumers.
Kama kila mtu analia njaa utamuuzia...
TZ kwa theory tuko vizuri nenda kwenye ground field performance ni 0℅.
Kuandika hayo ni simple sana na cha ajabu utakua unashangaa watu kushindwa kuchangamkia fursa ani ungejua mzunguko wa pesa ni mdogo sana,yaani market iko low sana wachache ndo wananufaika bro.
Iko hivi toolop katika pitapita zangu kwenye kucoment kwenye page za mastaa wa bongo nkacoment ovyo kuhusu huyo staa x,
Basi bana kuna binti fulani akareply nanukuu "huyu nae sijui katoka wapi kojoa ukalale" mwisho wa kunukuu.
Ss nkaona noma kumjibu public nkafany ku m dm huku nme screenshot...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.