Kwenye katiba mpya.
ujasiri wa kufanya aliyoyafanya anaupata kwa sababu ana kinga ya kutokushtakiwa hata akiachia madaraka.
Mapungufu ya katiba yanatumika kama kichaka cha kuwapiga/kuwaibia watanzania. Tuamkeni Watanzania.
Tupambanie katika ili iondoe kinga kwa maraisi wote waliopita ili sheria...
Tatizo, raisi analindwa na katiba, hawezi kushtakiwa. Ingekuwa tuna uwezo wa kumshitaki raisi unadhani angeweza kufanya haya? Tatizo kubwa ni Katiba ya nchi.
Mkuu, kama ungelizijibu hoja za tunaopinga mkataba huu usioeleweka, ingekuwa ni elimu nzuri sana kwa kwetu na kwa watanzania wote.
Usitumie nguvu nyingi sana kufikiri wala akili kubwa, fikiria tu kawaida.
Na kama upo na maslahi fulani kwa uuzaji huu wa bandari, kamwe huwezi kuwa na utetezi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.