Recent content by Tony guy

  1. Tony guy

    Anayejua jinsi ya kujiunga na Pay Pal

    Habari wana JF Mimi Nina akaunti ya PayPal ambayo haina Salio sasa nilikuwa naitaji kuongeza Salio ili niweze kufanya manunuzi Yang binafsi' kwa MTU yeyote aliye na Salio kwenye akanti yake ya pay pal Tafadhali tufanye exchange nimpe cash anipe Salio kwenye PayPal Yangu Nichek PM au call &...
  2. Tony guy

    Zifahamu hatua rahisi za kupata movie na series

    mi nilidhani na-download bila kuwa na Mb
  3. Tony guy

    [MSAADA] : Free App au Software Nzuri ya Ku-convert Videos mkv, mp4 kuwa avi kwa Simu au Pc.

    tumia Fomart Factory Ina Convert Video Mwili kwa wakati MMnoja na Kwa haraka zaidi
  4. Tony guy

    Ushauri juu ya hii website ya movie niliyoitengeneza

    Asan Asante ila tuna wategemea ninyi wadau kwani bila ninyi kujiunga hamna kitu?
  5. Tony guy

    Ushauri juu ya hii website ya movie niliyoitengeneza

    ndio kaka kipindi hichi ndio tupo kwenye maelewano tukimaliza tu makubaliana tuna ibadilisha site kuwa katika mfumo wa kulipia kwa wiki au mwezi
  6. Tony guy

    Ushauri juu ya hii website ya movie niliyoitengeneza

    NAIWEKA LEO LEO LAKINI HAIJATAFASILIWA KISWAHILI (Asante kwa Kuchagua)
  7. Tony guy

    Ushauri juu ya hii website ya movie niliyoitengeneza

    Ma-Dj Wote wanapatikana humo
  8. Tony guy

    Tanzanian made clean animations

    TZ YETU IKO KI-TECHNOLOGY ZAIDI
  9. Tony guy

    Nipe Idea kuhusu Technology likiwa zuri nalinunua

    Habari wakuu kwa kipindi cha wiki 2 zilizo pita nilitangaza kununua Idea ya mtu Kuhusiana na Technology (website) kuwa nanunua wazo kuhusiana na Website kwa mfano, mtu aliye tengeneza facebook hilo ni wazo la technology na ina muingizia pesa sasa naitaji Idea kama Hizo ya kuwa nitengeneze...
  10. Tony guy

    Ushauri juu ya hii website ya movie niliyoitengeneza

    Habari JF Kipindi Kilicho Pita Humu JF Nilikuja na Hoya Juu ya Ushauri Kuhusiana na Website ya Movie Nilio itengeneza, Sasa Website imekamilika Rasmi na iko tayari kimatumizi matengenezo mengine yataendelea pindi inapo tumika, Kupitia Website Hiyo unaweza Kutazama na Kupakua Movie Zilizo...
  11. Tony guy

    Naombeni ushauri wenu nifanye nini blog iliyo na matangazo ya adsense inilipe dolla 5 nakuendelea??

    mkuu nitafute 0743497079 nitakuelekeza jinsi ya kupata hadi dola 20 kwa siku na kufikia saa 8 mchana umeisha zipata
Back
Top Bottom