Recent content by Tony Gas

  1. Tony Gas

    Je Katiba ni mali ya Serikali? Kama sivyo, kwa nini mpaka Rais ndo aruhusu mchakato?

    Kuna mambo tunayadai kwa haki ila njia inayotumika hupelekea uvunjifu wa uhutaji. Raisi ni mamlaka kamili ambayo imepewa mamlaka na wananchi ndiyo maana analindwa na kusimamia katiba. Hayupo juu ya katiba bali anaisimamia. Uwepo wa Serikali unaanza nyuma sana mpaka tunapata mtu mmoja aongoze...
  2. Tony Gas

    Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

    Kwani Pale Posta Hakuna Namna Tumuwekee Sanam Huyu jamaa maana Kanya jambo la Akili kubwa… We ulisikia wapi?
  3. Tony Gas

    Tsh. Bilioni 6.7 zatengwa kufadhili Wanafunzi 640 kwa 100%, ambaye hatafikisha GPA 3.8 ufadhili unasitishwa

    Tunachezea sana hela…. Bodi itoe mkopo na Samia atoe Scholarship…. Hili suala halipo poa
  4. Tony Gas

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Nikushauri tu kaka. Usimuache mkeo kwa sababu ya wakwe zako. Mzee hana maisha anahitaji hiyo pesa akatanue. So wewe ishi na mkeo na usiache chema kisa wazazi. Nimemaliza
  5. Tony Gas

    Bandari na Usalama wa Taifa, Rais Samia hujui hata hili?

    Spika wa Bunge, Tulia Akson amesema ni taarifa za Uongo na kesho Bunge litatoa hatma ya mkataba huo. Swali linakuja kama Rais kaunga hoja huko na Bunge linaweza ikosoa hoja ya Rais? Majibu yapo kesho Bungeni tarehe 10 June.
  6. Tony Gas

    Lini tutaacha Chuki? Hivi Wazanzibari hawatambuliki na Katiba kuwa Marais?

    Ushawahi kuuona ubaguzi wa watu wa Zanzibar ukiwa kwao? Aiseee utatamani uuvunje muungano leo leo. Sema tujadiliane kuhusu Hasara za Muungano maana wewe kutokea Bara huwezi kuwa kiongozi Zanzibar.
  7. Tony Gas

    Mume wa mtu ananitaka

    Kuna Kiswahili harafu kuna kumuhitaji Oni Sigara aje achambue huu mwandiko….
  8. Tony Gas

    Jeshi la Polisi laanza Uchunguzi wa Kifo cha Nusura Hassan Baada ya taarifa za Kifo kutapakaa mitandaoni!

    Ondoeni Perceptions za kukandia Udom kwanza. Kisha tuje kwenye mada kuu. Hili suala la Ajali na tena Kipigo mara mpenzi mara waziri ni controversial sana. 1. Nani anajua ukweli juu ya kifo chake? -Kama Ajali imetokea Dodoma na Kifo kipo Kilimanjaro hapo hatujui nani mhusikia. 2. Kama Waziri...
  9. Tony Gas

    Gharama kubwa za uchapishaji wa stika za vinywaji za TRA chanzo bei kubwa za vinywaji nchini

    Duh! Aisee hii kali kwa kweli. Maana tunapigwa mpaka mshono unawaka Moto[emoji2299][emoji2299][emoji2359][emoji2359]
Back
Top Bottom