TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
Wazalishaji wa vinywaji vikali na baridi Tanzania wanalipa zaidi ya shilingi bilioni 100 kwa mwaka kwa hizi stempu.
Kampuni inayolipwa ni kutoka Ulaya (Uswisi) inaitwa SICPA. Hizi gharama ni kubwa ukilinganisha na nchi majirani, mfano Zambia ni robo ya hii bei. TRA wameshauriwa sana kwamba hizi gharama zinarudi kumuumiza mwananchi wa kawaida na ni bora waruhusu kampuni zaidi kuweka stempu ili kushusha bei ila hawasikii.
Hizi pesa wanaiba kwa wananchi zinapelekwa kwa nani? Mheshimiwa Rais Samia tunaomba uchukue hatua. Mambo kama haya yanafanya gharama za maisha kuzidi kuwa juu.
Kampuni inayolipwa ni kutoka Ulaya (Uswisi) inaitwa SICPA. Hizi gharama ni kubwa ukilinganisha na nchi majirani, mfano Zambia ni robo ya hii bei. TRA wameshauriwa sana kwamba hizi gharama zinarudi kumuumiza mwananchi wa kawaida na ni bora waruhusu kampuni zaidi kuweka stempu ili kushusha bei ila hawasikii.
Hizi pesa wanaiba kwa wananchi zinapelekwa kwa nani? Mheshimiwa Rais Samia tunaomba uchukue hatua. Mambo kama haya yanafanya gharama za maisha kuzidi kuwa juu.