Recent content by Tonny Mdaki

  1. T

    Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

    Hata wakiandika ukweli ulivyo, hautakubalika bado. Lakini ukweli madaraka ndivyo yanavyopatikana. Madaraka ni kama kupata dhahabu au almasi kule mgodini. Ukipata madini hayo halafu uzubaa kidogo watu wenye hila wapo pale watakupora tu pengine hata kupoteza maisha yako. Ndivyo ilivyo kuwa kwa...
  2. T

    Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

    Naapa kwa shada ya mwenyezi Mungu, aliyeumba mbingu na nchi, kama nikilipwa hela zangu mimi niliyekuwa sekta binafsi na michango yangu nikapeleka Nssf, sitarudia tena kujiunga na mfuko huo, hata kama ni kwa mjibu wa sheria. Bora nijiajiri kwenye mashamba yangu ya kufuga mbuzi. Shiiit
  3. T

    Mjue Kanali Ali Mahfoudh

    Asili yake inasaidia nini?
  4. T

    Mjue Kanali Ali Mahfoudh

    Kanuni ya uandishi iko hivi; lazima picha iambatane na maelezo chini yake kuelezea ujumbe wa picha. Sasa unabanua picha gazetini na kutupia tu bila maelezo? vipi bwana wewe.
  5. T

    Baada ya Zambia zamu ya Kenya, China mbioni kutaifisha SGR kulipia deni

    Jamani mnapoandika taarifa muhimu kama hizi kumbukeni kuweka source, ilikusudi watu tujue how serious the issue is..
  6. T

    Kagera: Kimondo chadaiwa kudondoka Bukoba

    Nyie watani zangu ni waoga sana! Halafu mnaandamwa na majanga! Mara vifaru vya Amin, Slim, Tetemeko na sasa mmesikia radi mnadhani ni kimondo kimedondoka.. teh teh teh teh.
  7. T

    Kwa wimbi hili la Watanganyika kuhamia Zanzibar, tujiandae wazanzibar kupoteza utambulisho wetu ndani ya miaka kumi ijayo

    Sasa utambulisho kwamba wewe mzanzibar unakusaidia nini? unapata penshen kwa kuitwa mzanzibari? au sijakuelewa bro.
  8. T

    Naombeni tupinge hili: Mwanamme usioe mke zaidi ya mmoja, oa mke mmoja tu ila zaa na mke zaidi ya mmoja....!

    Kelele za wake kuolewa zinakuwa nyingi hadi mwanaume unakosa usingizi, pili unaweza kuhatarisha maisha yako, pindi wake wakiamua kwa dhana ya "bora tukose wote"! Tatu utalishwa mizizi mingi sana, na matakataka mengine kwa madai ya kutulizwa na kila mke. Kwa hiyo nasapoti, bora kuzaa nje kuliko...
  9. T

    Msaada nimekua na hasira sana ni stress tu au kuna kingine?

    KU overeact inaweza kusababishwa na uchovu wa akili, hasa unapokuwa busy kupita maelezo bila kupata muda wa kupumzika. Jaribu kutenga muda ukitoka kazini, ufanye mazoezi kidogo na unywe maji kwa wingi. Pia mtembelee mtu ambaye ni rafiki yako awe demu au mwanaume, kwa ajili ya kushare vitu vya...
  10. T

    Dar: RC Makonda awataka wakazi wa Dar kufuta picha za ngono kwenye simu zao kabla ya Jumatatu

    Haahaaa haaa Demis bwana!!! hata mi nashangaa ukifuta kwenye simu, na zile za google web nazo atazifutaje?? mbona Dar mna kazi sana na huyo sultan wenu?? Jamani!
  11. T

    Rais Magufuli: Sitatenga hela ya Katiba Mpya ili watu waende Bungeni kula; wala sikuinadi kwenye kampeni

    Mkuu tuseme ukweli, hakuna prof. mwenye usubutu wa kuzungumza kwa kukosoa pale. Wote wako biase kutokana na mazingira ya kongamano lililo andaliwa na wakalibishwaji. Mfano wewe ungekaribishwa pale ungeweza kusema jambo lolote la kukosoa. Mfano huyu prof. anayewasilisha maada ya lugha, anadai eti...
  12. T

    Kigoma: Zaidi ya wananchi 100 wa Jamii ya Wanyantuzu, wadaiwa kupigwa risasi na Polisi

    Kimsingi ni wasukuma. Huku sisi Kgm tunajua ni wasukuma tu, manake ndio wana tabia ya kufunga ngo'mbe na kuzunguka nao kila kukicha. Lakini mbona humu humu siku imetokea, jamaa mmoja alilipoti tukio hilo? Sema watu hawakupay attention sababu ya tukio lililokuwa linatrend la kutekwa kwa mwekezaji
Back
Top Bottom