Baada ya Zambia zamu ya Kenya, China mbioni kutaifisha SGR kulipia deni

hawa wachina washenzi kwelikweli tukiishawauzia hilo ziwa watataka na uwanja wetu wa chatto mungu hakua mjinga kuwapa vimo vifupi,vimacho vidogo na vibamia aliona mbali sana
 
Tuwauzie tu hili ziwa kwa bei ya dola elfu moja kwa square metre moja. Tanzania tuna eneo la ziwa victoria kilomita za mraba 33,700 ambazo nisawa na square metre 33,700,000,000. Kwa hiyo tutapata dola 33,700,000,000,000. Yaani dola trilioni 33.7. Ambazo ni sawa na shilingi trilioni 79,191. Kwa bajeti yetu ya trilioni 33 kwa mwaka, pesa hizo zitatutosha kwa miaka 2,399. Tuchangamkie tenda fasta! Baada ya miaka hiyo kuisha hakuna atakayeumia maana kiama kitakuwa kimeshawasili kitambo!!!!!
Hizo utaziskia tu kuwa zililipwa zikaishia mifukoni mwa wenye serikali wanaishi uswiz
 
[QUOTE="YEHODAYA, post: 29402307, member: 315573

Fuatilia utaona kila mzungu mahali akipigwa teke kibiashara na mchina uone anavyobweka[/QUOTE]

Well said, binafsi kinacho nisikitisha zaidi ni hawa waswahili wenzetu (Wafrica) wanapo okoteza okoteza propaganda za magharibi dhidi ya Wachina na kuzisambaza kama zina ukweli vile - hawana hata muda wa kuchunguza kwa umakini sources za taarifa hizo zinatoka nchini gani? Waswahili wanacho fanya ni kuongezea chumvi kuwakandia Wachina as if hawaoni nini Wachina wameyafanya katika kuleta maendeleo ya kweli katika Mataifa mbali mbali ya Kiafrika ikiwemo Tanzania.

Marehemu Samora Machel aliwahi kusema kwamba: wakoloni wana matatizo yao lakini wabaya zaidi ni Wafrica wanao tumiwa na wazungu kueneza habari potofu au kufanya hujuma za chini kwa chini wakitumiwa na Wakoloni - hii ni kweli kabisa, angalia kilicho tokea huko Congo miaka ya '60 waswahili walitumiwa na CIA kumuua Lumumba, Ghana vile vile Nkrumah kapinduliwa na Waswahili, list za hujuma za wazungu dhidi ya Bara la Africa ni ndefu mno.

Cha kushangaza zaidi utakuta Wazungu hao hao wanao wasema vibaya Wachina kuhusu ujio wao barani Afrika, wao ndio wako mstari wa mbele kuwakaribisha Wachina wawekeza nchini mwao na ku-create employment, mfano Uingereza ambayo ilikuwa katika hali mbaya kiviwanda hasa upande wa North West na Midland Wachina wamefufua baadhi ya viwanda vya Waingereza,wakawekeza kwenye London Dock, uzakishaji wa umene kwa kutumia nishati ya nuklia, mitambo ya radio inayotumiwa na British Telecom inahundwa na kampuni ya Kichina (Huawei), viwanda vya magari vya Wajapan pamoja na vya consumer electronics (Nissan,Toyota, Sony, Panasonic etc), Viwanda kutoka Korea Kusini (magari na consumer electronics) nk; uwekezaji wa Wachina Pamoja na Wakorea kusini huko Ulaya na Marekani ni mkubwa sana sana, lakini Wazungu wakija kwetu wanasema Wachina si watu ni wezi wa kutupwa!!

Waswahili tunacho sahau ni kwamba propaganda za Wazungu dhidi ya Wachina zina lengo la kutufanya tusiendelee tubaki nyuma daima duni.
 
mtunda_mimi_n_semtunda-20181204-0001.jpg
 
Kuna rais alisema jana china marafik wa kweli. Yeah nikatoa reference ya zambia.
Hakuna nchi inatoa pesa ya maendeleo.kwa.nchi za afrika bila kuwa na sababu maalum
Jamani mnapoandika taarifa muhimu kama hizi kumbukeni kuweka source, ilikusudi watu tujue how serious the issue is..
 
Tuwauzie tu hili ziwa kwa bei ya dola elfu moja kwa square metre moja. Tanzania tuna eneo la ziwa victoria kilomita za mraba 33,700 ambazo nisawa na square metre 33,700,000,000. Kwa hiyo tutapata dola 33,700,000,000,000. Yaani dola trilioni 33.7. Ambazo ni sawa na shilingi trilioni 79,191. Kwa bajeti yetu ya trilioni 33 kwa mwaka, pesa hizo zitatutosha kwa miaka 2,399. Tuchangamkie tenda fasta! Baada ya miaka hiyo kuisha hakuna atakayeumia maana kiama kitakuwa kimeshawasili kitambo!!!!!
Mbona hiyo Ni Kama robo TU madeni na tena siyo yote mkuu au tuna daiwa na mchina TU?
Kumbuka UKITOA VICT,WENGINE WATATAKA TANG,WENGINE NYAS,WENGNE NCHI NZIMAAAA! HALAFU WATAKA TUWE KOLONI SIYE???
 
Teh teh teh tihiii
hapo wanashangaa, hiki kichwa mbona ni cha tofauti??
Afrika nzima tumezunguka, lkn hatujaona kama hicho.
kwa kukusaidia tu hapo tafsiri yake wameandika “Magufuli aiomba China kuongeza misaada zaidi kwa Tanzania”
 
27.11.2018 -- John Magufuli: Tanzania prefers 'condition-free' Chinese aid.
"The thing that makes you happy about their aid is that it is not tied to any conditions. When they decide to give you, they just give you," Mr Magufuli said. LINK to article

"Condition-free"? Not the Mtwara-Dar Gas pipeline:

14.01.2018 - Tanesco risks losing rights to a crucial gas pipeline deal if it does not pay Tsh248 billion ($109 million) to TPDC.
“TPDC may not be able to service the loan obtained to facilitate construction of Mtwara-Dar Gas Pipeline from Exim Bank of China and their respective interests, if Tanesco does not settle this liability,” Prof Assad said in an audit report.
LINK to article


_104510890__103239508_china_africa_loans-nc.png
 
Back
Top Bottom