Recent content by Tonney

  1. T

    Kilimo cha kisasa twende pamoja nikujuze mengi kuusu hii technology..

    Mkuu vp naomba nidadavulie kidogo kuhusu iyo kilimo cha drip irrigation.
  2. T

    Natafuta patner tufanye kilimo cha umwagiliaji Morogoro

    Mkuu vp naomba nitafute km uko serious
  3. T

    Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

    Msipende kuingiza chuki pasipo na msingi wowote, mmeshaelezwa kwa nn ametumia neno hilo, "anasifia uumbaji wa Mungu" so sioni km hilo neno lina shida sana.
  4. T

    Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

    Chuki zako hizo usiambukiziee wengine
  5. T

    True story: Hataki nimuoe kasingizia ndugu wanapenda aendelee na chuo-degree

    Hapo umeliwa kk Sent using Jamii Forums mobile app
  6. T

    Kero: Anapiga kelele wakati wakiwa wanafanya mapenzi

    Nimekuelewa sana dada Sent using Jamii Forums mobile app
  7. T

    Napata wapi wazungu wanawake walio tayari kuolewa na Waafrika tuishi maisha ya ndoa ya Kikristo?

    Arusha wako wengi sana kk fika club moja ivi known via via apo ndio sehemu huwa wanakuwaga wengi ,unasoundisha unachukua mzigo
  8. T

    Napata wapi wazungu wanawake walio tayari kuolewa na Waafrika tuishi maisha ya ndoa ya Kikristo?

    Arusha wako wengi sana tena siyo wa yeye kukutongoza ata wewe mwenyewe unatupia sound,fika club moja ivi inaitwa viavia.
  9. T

    Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

    Kaka hongera sana sana aisee, sasa mm nataka kufanya biashara ya kusambaza unga wa sembe na dona kwa APA Arusha so naomba ushauri wako kk, na biashara hii nategemea kuaanza soon Early of July baada ya kumaliza process ya kufunga machine so more info plz.
  10. T

    CHADEMA Siwaelewi mnachokisimamia

    Nyinyi maccm ndio hovyo kabisa utafikiri mmerogwa bwana
  11. T

    Natafuta patner tufanye kilimo cha umwagiliaji Morogoro

    Mkuu naomba tuwasiliane basi
  12. T

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    Jamani naomba mnisadie apa utamtumaje mtu kwenda kwenye matibabu??
  13. T

    Kesi ya Kikatiba: Makonda, Sirro na Wambura wakataa kupokea wito wa Mahakama 'summons'

    Hawo jamaa ni km viongozi wao tu sheria wataijua wapi ni kukurupuka tu ndio wanajua.
  14. T

    Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

    Garama ya iyo cm acha kibongobongo auwezi sogelea
Back
Top Bottom