Msipende kuingiza chuki pasipo na msingi wowote, mmeshaelezwa kwa nn ametumia neno hilo, "anasifia uumbaji wa Mungu" so sioni km hilo neno lina shida sana.
Kaka hongera sana sana aisee, sasa mm nataka kufanya biashara ya kusambaza unga wa sembe na dona kwa APA Arusha so naomba ushauri wako kk, na biashara hii nategemea kuaanza soon Early of July baada ya kumaliza process ya kufunga machine so more info plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.