Recent content by Tondolobeta kudasi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Picha: Angalia jinsi daladala wanavyojiongeza na level seats

    Safi sana kumbe level seat inawezekana hata bila tishio la corona!!!!! natamani utaratibu huu uendelee hivihivi hata baada ya janga la corona kwisha. Mbona kenya iko hivo, sisi tunakwama wapi.?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu,kwenye hii picha wawili kutimkia CCM kabla ya mwezi wa 8

    Upinzani si vyama, vyama ni miavuli tu, upinzani upo kwenye mioyo ya watu. Kumbukeni ya Salawathi enzi za Tanu. Wakati huo kilikuwa chama kimoja tu. Jamaa alisimama kama mgombea huru, na akawashinda wana Tanu chini ya kampeni kubwa uliyofanywa na mzee wetu baba wa taifa.
  3. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mshituko: Wananchi Kigoma mjini wamtaka Prof. Joyce Ndalichako

    Elitwege, Haaaa, Elitwege ndo umefahamu hivyo sasa,!!!! Mbona ni mkakatiti wa kitambo huo? Muda utasema, ngoja tusubiri
  4. T

    JamiiForums Tanzania TCRA, NIDA waanika siri kukwama usajili laini

    Hakika tunasafari ndefu, uandikishaji kura finger print, uamiaji finger print, kitambulisho cha taifa finger print. Kwanini hivi vyote hazikuunganishwa. Ili kupata utambuzi mmoja kama kwa wenzetu?? Maana huwezi kupata pasi ya kusafiria kama si raia, huwezi kupiga kura kama si raia.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mwandishi wa habari Idhaa ya Kiswahili ya DW akutwa hajitambui ndani ya basi

    😄😄😄😄😄, Faru taratibu bwana..
  6. T

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Wizi mpya umeibuka, wezi wanatumia boda boda

    Pole sana mkuu, hiyo hali hata pale kinyerezi mwisho tabia hizo zimeanza kuchipuka.
  7. T

    JamiiForums Tanzania Dada wa kazi anavyosaidiwa kuwa mke bora kuliko mabinti wa bosi

    comte, 😄😄😄😄😄😄kabisaa wanafikiri wana wakomoa wadada wakazi, wakati wana waharibu watoto wao, wakisha olewa kupika, kufua nk. Hawajui mara paaa ndoa imevunjika.
  8. T

    JamiiForums Tanzania Taarifa kuhusu uzinduzi wa huduma ya tiba ya Dialysis Hospitali Kuu ya Jeshi

    Hongera sana kwa hatua mliofikia. Huduma hii kwa sasa inahitajika sana. Nafikiri itasaidia kupunguza msongamano pale Muhimbili na hospitali zinginezo.
Back
Top Bottom