Huyu mama anaenda kutuibia watanganyika, kwa kutuwekea mtu bomu pale Hazina. Kwa mara ya kwanza tangu napata fahamu Watanganyika tumekuwa na waziri wa fedha asiyetuibia. Sasa ku toa hapo ni mipango ya wizi TU.
Kun watu wanaamini siku ya kufa ikifika, hata kama uko ukimbizini hauwezi kuikwepa. Ndo maana hata wazungu na utaalafu wao wote wakupandikizana mpaka viungo nao hufa.
Kuna wengine wanaamini, kwa weredi na maarifa wanaweza kuahirisha siku yao ya kurudisha namba.
Hawa wote wabeba imani hizi ni...
Si mngeanza basi na kutuonyesha uongozi wa demokrasia usio wa kibabe ndani ya chama chenu kwanza, ili tuone mtakavyotufanyia huku nje tukiwapa hayo mamlaka?
Kushughulika na kero za miaka nenda rudi na kutuaminisha kuwa tunaweza.
Kujaribu kutuheshimisha wananchi wa kawaida mbele ya watumishi wa umma.
Ile mentality ya ujanjaujanja aliyoikuza JK na kuwa siasa/nafasi za siasa ziikuwa za kununua kufutika kwa kiasi kikubwa.
Waziri wa Afya na naibu wake waliita wanahabari wakawasihi watu wajikinge, wakaonyesha jinsi ya kunawa na kujifukiza, wakanywa dawa, watu wakamkejeli. Akawaonyesha yeye na mumewe wanavyojikinga, watu wakamkejeli mumewe kuwa kaolewa, wziri anapenda kiki. Waziri ni msaidizi wa raisi. Raisi hawezi...
Kwahiyo Kikwete hatakufa ? Kufa tumeumbiwa binadamu. Tutakufa kwa kubanwa mafua au kwa ngebe, lakini tutakufa tu. Acheni uoga kama wanaume wa Dar/Msoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.