ni yeye au mwili?Yuko busy kalala na ventilator 😂😂😂😂
kama hata kuandika hujui,utaelewa kweli kinachopiganiwa?Alafu utasikia selikali imeminya uhuru wa demcrasia
ni yeye au mwili?
ni yeye au mwili?
Nyuzi nyingi za kuuliza humu ni ID mpya za vijana wa Green GuardUsikute hata CCM wanatamani kutoa tamko kuuliza aliko.
cjui vichwa vya aina hii vitafunguka lini! ujue hii ni aibu kwa taifa! kwa nn ujinga wa namna hii hauishi kwny hii nchi? hopeless!Serikali hii ina askari wapole sana.
cjui kuandika kwnyw umejuaje! me huwa nazshangaa sn akil mbov km hii.Alafu utasikia selikali imeminya uhuru wa demcrasia
Kwani huyu mmekubali anaumwa? Si mmesema ni mzima anachapa kazi? Sasa mchapakazi asiyeonekana ni jini au?Binaadamu ninyi huwa hamna jema, alipofanya press yule Dakitari Mipango mlihoji "kulikuwa na ulazima gani...si angepumzika tu kwanza akae sawa?"
Wewe hupend kujua alipo? Au ndio mnanungunikia mioyoni mwenu na mnaogopaa kuhojiHuyu mama lengo lake ni kutaka watu wajue tu kuwa Chama chao bado kipo. Maana watu tulishasahau kama kuna Chama hapa nchini kiitwacho NCCR Mageuzi!!
Kwahiyoo anaumwa kama Mpango??Binaadamu ninyi huwa hamna jema, alipofanya press yule Dakitari Mipango mlihoji "kulikuwa na ulazima gani...si angepumzika tu kwanza akae sawa?"
SawaNawashangaa sana wanaoshadadia habari za Rais JPM, hivi hawafahamu hiki ni kipindi cha kwaresma?
Ni wacha Mungu wa kweli?
Katika kipindi hiki kwa mtu mcha Mungu wa kweli aliyefunga kwaresma huku akifanya maombo, kamwe hutomuona wala kumsikia, anaongea na Mungu tu.
Nawaombeni mtulie tumalize mfungu ndio muendelee na porojo zenu hizo.