Watakapo fungua maombi ya kuomba vyuo.utajaza re application letter then utaituma pamoja na hiyo barua kwenda TCU.lakini pia vyuo hutoa taarifa TCU kwa wanafunzi walioacha masomo kila mwisho wa semister.Mimi pia nimefanya deregistration mwaka huu natarajia kuomba hayo ndiyo majibu niliyopewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.