Recent content by tomentosa

  1. T

    Ni lini tcu wataruhusu tuanze kufanya application za vyuo vikuu 2019/2020

    Nenda kwenye chuo husika moja kwa moja mfn UDOM,UDSM ,IFM ,MZUMBE kote wameruhusu maombi
  2. T

    APPLICATION FEES,2019/2020

    Wewe fanya application ,hivyo hujui ni vyuo vya private
  3. T

    Ni lini tcu wataruhusu tuanze kufanya application za vyuo vikuu 2019/2020

    Hahahahahaha yaani akifuata huu ushauri amekwisha
  4. T

    Ni lini tcu wataruhusu tuanze kufanya application za vyuo vikuu 2019/2020

    Wamefungua kwa waombaji wenye matokeo ,kuanzia mwaka jana kurudi nyuma
  5. T

    Climatorogy

    Kwa kweli nimecheka sana ."which were asked " climatorogy
  6. T

    Msaada kuhusu rita portal kuna update yoyote wangapi tayari washapewa majibu?

    Jisajili upya kwa taarifa zilezile kisha ingia.Mi nimefanikiwa kuingia ila majibu bado
  7. T

    Tarehe 10 imepita hatuoni tcu guide book 19/20 ikoje hii wakuu

    Duuh bora umenikumbusha ,Mimi mwenyewe naisubiri
  8. T

    UDAHILI 2019/2020

    Trh 24 dirisha linafunguliwa kwa walio maliza mwaka Jana kurudi nyuma
  9. T

    Ulizo:

    Wamesharekebisha nimetuma cheti Leo imekubali.ila Fanya kama una jisajili upya kwa taarifa zilezile za awali
  10. T

    JE KUNA ULAZIMA WA KWENDA HADI TCU.?

    Ndiyo.kwani washatoa ile fomu ,mana na mm nataka nijaze
  11. T

    JE KUNA ULAZIMA WA KWENDA HADI TCU.?

    Watakapo fungua maombi ya kuomba vyuo.utajaza re application letter then utaituma pamoja na hiyo barua kwenda TCU.lakini pia vyuo hutoa taarifa TCU kwa wanafunzi walioacha masomo kila mwisho wa semister.Mimi pia nimefanya deregistration mwaka huu natarajia kuomba hayo ndiyo majibu niliyopewa...
Back
Top Bottom