Richiethegemini
Member
- Oct 31, 2017
- 64
- 32
- Thread starter
- #21
asante kwa ushauriBwana mdogo soma umeme tu hio oil and gas itakuumiza kitaa japo utapata mkopo 100% ila mbele lazima utambue majuto ni mjukuu
asante kwa ushauriBwana mdogo soma umeme tu hio oil and gas itakuumiza kitaa japo utapata mkopo 100% ila mbele lazima utambue majuto ni mjukuu
Petroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma
watu wana PHD zao namba wanaisoma
namba shufwa wanazisoma
namba witiri namba tasa,
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma
Wewe una degree yako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?
Mdogo mdogo wangu, mdogo wangu, usiiguse petroleum
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba,
usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma
watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma,.
Ww mwenye two yako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo,
Kawaulize chekechea,
huu ni mwaka wa tano,
kwa watalaam wa petroleum,
Kama na wewe unapenda bac chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum,
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
Weka vzuri hela yako, kusoma namba ni kazi.
Namalzia kwa kusema, petroleum itakuumiza,
Naweka karamu chini nawe achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemisry itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma, yatakubabu huo mwili
Bora ukasome electrical ukapigwe na short ya umeme.
Soma kitu ambacho unaweza ukajiajiri tatizo lenu mnadhani kazi zipo ww kama huna mtu mnayeajuana kuajiriwa usikuwekee kipaumbeleWazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Aise sio mchezo
Mkuu bado upo ticts?KASOME ELECTRICAL MDGO WANGU AJIRA ZIPO SANA ZA UMEME ILA UWE MVUMILIVU UKIMALIZA AJIRA NAZO NI CHALLENGE ILA HUWEZ KUSOTA SANA KM UTAJITPLEA KUPIGA INTERNSHIP SEHEMU MIMI NIKO TICTS NAKUKARIBISHA UJE FIELD HAPA NIKUIVISHE
NIMEHAMA NIKO MAERSK SASA HVMkuu bado upo ticts?
Intership vip zinapatikana?!NIMEHAMA NIKO MAERSK SASA HV
Ok just ask themSJAONA WATU WAKIFANYA INTERNSHIP HAPA BUT I NEED TO ASK THEM NIONE KM WANAFANYA HAYO
Kiukweli kama unataka una ajira ya uhakika kasomee ualimuuuuuuu ni full ajira serikalini .........Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Chuo gan kizuri kwa hyo koz ya electricalMkuu kwa mim nakushauri bora usome Electrical and Electronics Engineering ina soko pia ukimaliza kuna uwezekano mkubwa wa kuajiriwa au hta kujiajiri mim mmoja wao nimefanya hio.