Kozi: Oil and Gas na Electrical and Electronics Engineering ipi bora?

Kozi: Oil and Gas na Electrical and Electronics Engineering ipi bora?

😀😀😀

Petroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma
watu wana PHD zao namba wanaisoma
namba shufwa wanazisoma
namba witiri namba tasa,
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma
Wewe una degree yako, mchezo utauweza?
Wewe unaka bachelor kako mchezo utauweza?
Mdogo mdogo wangu, mdogo wangu, usiiguse petroleum
Waachie walio igusa waendelee kuisoma namba,
usiiguse petroleum namba utaisoma
Watu wenye one za tatu namba wanaisoma
watu wenye one za nne namba wanaisoma
watu wenye one za tano mamba wanaisoma,.
Ww mwenye two yako utauweza mchezo,
Kusoma namba sio mchezo,
Kawaulize chekechea,
huu ni mwaka wa tano,
kwa watalaam wa petroleum,
Kama na wewe unapenda bac chagua petroleum,
Petroleum unaipenda na namba utaisoma,
Petroleum ni janga usichague petroleum,
Badirisha kozi haraka usisome petroleum,
Ewe kijana wa petroleum uliyepo chuoni,
Weka vzuri hela yako, kusoma namba ni kazi.
Namalzia kwa kusema, petroleum itakuumiza,
Naweka karamu chini nawe achana na petroleum,
Usiiguse petroleum engineering itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum chemisry itakusomesha namba mtaani
Usiiguse Petroleum geology itakusomesha namba mtaani,
Ewe ndugu yangu wa petroleum, kama Mechanical engineering ipo nenda kaisome hiyo, hutojuta.
Usiende huko kwenye Oil and gas, mafuta hayo yatakuchoma, yatakubabu huo mwili
Bora ukasome electrical ukapigwe na short ya umeme.
 
Kasome Electrical and Electronics Engg ina wigo mpana wa ajira hata huko kwenye Oil and Gas Industry wanahitaji hiyo fani pia
 
Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Soma kitu ambacho unaweza ukajiajiri tatizo lenu mnadhani kazi zipo ww kama huna mtu mnayeajuana kuajiriwa usikuwekee kipaumbele
 
SJAONA WATU WAKIFANYA INTERNSHIP HAPA BUT I NEED TO ASK THEM NIONE KM WANAFANYA HAYO
 
Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Kiukweli kama unataka una ajira ya uhakika kasomee ualimuuuuuuu ni full ajira serikalini .........

Lakini hayo maswala ya oil, gas na electrical swala la kupata ajira asilimia 100 sio uhakikaa maana kuna competition kubwa
 
Mkuu kwa mim nakushauri bora usome Electrical and Electronics Engineering ina soko pia ukimaliza kuna uwezekano mkubwa wa kuajiriwa au hta kujiajiri mim mmoja wao nimefanya hio.
Chuo gan kizuri kwa hyo koz ya electrical
 
Back
Top Bottom