So you think telling me that I think low makes me think low?? This is completely inferiority complexity, nilichosema kwenye comment yangu ni kwamba sioni jipya kwenye ndoa kwa sababu kila wanachofanya wanandoa nishafanya kasoro moja tu, kuhalalishwa kama mwanandoa, sasa wewe mwenye ndoa halali...
As far as I am concerned, naona ndoa ni aina fulani ya mazoea ya maisha. Eti kwamba ukifika umri fulani basi ili udhihirishe uanaume/uanawake wako lazima upate mwenza wa kuishi naye kwenye kifungo cha maisha kijulikanacho kama ndoa. For me ndoa na jela hakuna tofauti zaidi ya mazingira tu...
As far as I am concerned, naona ndoa ni aina fulani ya mazoea ya maisha. Eti kwamba ukifika umri fulani basi ili udhihirishe uanaume/uanawake wako lazima upate mwenza wa kuishi naye kwenye kifungo cha maisha kijulikanacho kama ndoa. For me ndoa na jela hakuna tofauti zaidi ya mazingira tu...
Tanzania yetu shida sana, wanafunzi wakifeli lawama zote kwa serikali, wakifaulu lawama kwa serikali. Mi sijui tupewe nini ili tuamini haya mambo yanawezekana... Smh
Hivi hii Rwanda kwanza ina hadhi ya kuitwa nchi yenye uwezo wa kuichapa Tanzania? Nchi yenyewe haina hata tofauti na mkoa wa Arusha kiukubwa...Kagame kama unaota ni bora uzinduke mapema kwa sababu yaliyomkuta Nduli yanaweza kuwa mfano wa yatakayokukuta! Japo siungi mkono mapigano, lakini kama...
Guys why don't you appreciate a bit of whatever our president is doing for the country???...it's sad to see people nowadays do not focus on what is being said (content) but rather on who and how it's being said!!! Wonderful enough countries like Japan and China (big economies) do not even say...
I love everything about this thread despite some negative responses imposed by some "fake Tanzanians" who always rely on shallow sources of knowledge and information that make their minds stagnant and rigid to the reality.
"Slavery of thoughts is the worst ever kind of slavery"
Ulivyoandika ni kama tayari Lowassa ameshakua rais wa Tanzania kitu ambacho ni mapema sana kukizungumzia ukizingatia ni miaka miwili kuelekea uchaguzi mkuu 2015....be patience time is always a perfect judge!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.