Recent content by tobe5

  1. T

    Naomba kujuzwa bei ya "baro" za nguo za mtumba

    T.shirt za ukweli balo lake yapo yenye uzito Wa 45kg na 100 kg pia pia yapo yanayotofatishwa t.shirt ze collar name yenye roundneck
  2. T

    Naomba kujuzwa bei ya "baro" za nguo za mtumba

    Nguo za mitumba zina mchanuo mpana kwa mtu anayezijua ziko za aina nyingi unaulia Nguo aina IPI?mfano 1-mashati ,2-bruose 3-suluari za kike / kiume huo ni mfano lakini ziko item zaidi ya mia moja ukitaka kuifanya biashara hii usiingie kichwakichwa
  3. T

    Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

    siku zote wanasema daima wajinga ndio waliwao, badala ya kufanya kazi kwa bidii ili upate pesa wengine wanafikilia kupata pesa kirahisi ,hakuna kitu kizuri kinachopatikana kirahisi ishu ni kukaza buti .na huyo msimwite muhudumu wa bar mwite kahaba na kama anajua kwamba wanaomgegeda kesho yake...
  4. T

    Leo ukimgegeda, kesho yake unapata mkwanja~ (Ushirikina au Karama?)

    kama uhai wako unauthaminisha pesa basi ingia uone
  5. T

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    funguka zaidi wewe uliye karibu na tukio ,pia poleni sana.
  6. T

    Pombe:amtongoza shemejiye

    pombe ni kisingizio tu inaonyesha wewe tabia yako ni ya ukwale ,jamaa yako naye mvumilivu kweli ningekua mimi ningekutoa nduki mapema sana.
  7. T

    Hivi Wanawake Wanataka Wafanyiwe Nini?

    wewe hujui kutofautisha kati ya kupenda na kutamani.
  8. T

    Ndoa ya mama PHD na baba standard seven

    Itategemea kama nia yao itakua moja kila mmoja atachukua nafasi yake .yaani mke achukue nafasi ya uanamke wake bila kujali elimu yake na mume achukue nafasi yake bila kuogopa elimu ya mkewe.
  9. T

    mimi na mabintu wa facebook

    wewe endelea kujisifu kwa ujinga wako ,unajiona umepata kumbe umepatikana ,baada ya miezi mitatu nenda kapime na majibu usiayakimbie.
Back
Top Bottom