Pombe:amtongoza shemejiye

Pombe:amtongoza shemejiye

pombe ni kisingizio tu inaonyesha wewe tabia yako ni ya ukwale ,jamaa yako naye mvumilivu kweli ningekua mimi ningekutoa nduki mapema sana.
 
Atafute mtu wa makamo aende naye kuomba msamaa...
Siku nyingine akilewa alale hukohuko bar... weka mbali na wake za watu
 
Mwambie siku nyingine akipombeka akamtokee mke ya CHAI CHUNGU
 
Best freand wangu kanitumia sms ifuatayo kuomba ushauri,
''Mkubwa vp za asbh?ebwana npo ktk kpnd kgumu sana,hapa ninakaa na msela wangu na demu wake ana muda kama wk3 sasa yupo,juz nlipga mma (pombe) sana tna mno mwanangu nkaja mchana kula c nkamtongoza..shem angu yan!kamwambia jamaa ake kamaind mbaya toka jana hansemesh,nkamwta nimuombe raz kakataa kuja kwa kgezo et 2mbo lamuuma wakat yuko t.o.d (zamu shuleni) na anakwenda kama kawa..kk ushaur wahtajka haraka coz hata misos twashea, 2kila 2nakuw kmya wote so nataka niache kula msoc niwe nakula vbandan2,ushaur wa haraka watakiwa kaka''.
Yeye ni mwajiriwa na ndoo kaenda kuanza maisha huko alikopangiwa ajira yake,
binafsi nimeshindwa kumpa ushauri nikaona nipitie hapa ambapo haliharibiki jambo,
tafadhali naomba msirushe mawe ,toa ushauri wa kujenga nn kifanyike ili maelewano mazuri yawepo,
ahsanten,

Andika kwa lugha ya kistaarabu. After all, this is your private business.
 
Kuna msomi mmoja aliwahi kusema kuwa "..usidharau kitu utakachoambiwa na mtu mwenye hasira na mtu ALIYELEWA..'
Alimaanisha kauli za watu hao huwa zinatoka ndani ya mioyo yao tena kwa dhati kabisa.
 
Ahame haraka sana hapo na aombe msamaha kwa aliyoyafanya, kuendelea kukaa hapo ni hatari kwa maisha yake.
 
Alcohol is a lame excuse.
1. Ahame
2. Ahame
3. Ahame
mengine atajipanga.
 
Kwa lugha ya KIRUMI inaitwa 'INOMINAS VERITAS" Maana yake,penye mvinyo kuna ukweli.!ndo maana wale jamaa zetu wa T...S Wanatumia sana hiyo techn.kupata info!chezea maji ya dhahabu ya ILALA wewe!!
 
Kuna msomi mmoja aliwahi kusema kuwa "..usidharau kitu utakachoambiwa na mtu mwenye hasira na mtu ALIYELEWA..'
Alimaanisha kauli za watu hao huwa zinatoka ndani ya mioyo yao tena kwa dhati kabisa.

"INOMONAS VERITAS"-a.k.a penye mvinyo kuna ukweli!!
 
Aache pombe kuifanya kisingizio yeye alikuwa na wazo hilo, abadilike sio tabia nzuri hata kidogo, anapepo ya ngono akaombewe.
 
Kama kweli anakumbuka kuwa alimtongoza shemeji yake akiwa tingasi, basi alidhamiria...
 
Asisingizie pombe..alienda kunywa ili kuondoa aibu yakumtokea shem alidhamiria
 
Back
Top Bottom