Mtoa mada alitegemea Mbunge Mdee awe anagawa; Kofia, Kanga, Chumvi, Gongo na Mataputapu kama wanavyofanya Magamba wakati wa uchaguzi kwa imani kwamba wananchi ni mazezeta watagawana Sh. 5000/= familia nzima kwa miaka mitano! Watu sasa wanafahamu tofauti kati ya Unga na Bange, unapoteza muda...