Tusijump into conclusion bado mapema sana sasa hv,usikute ni deal wamecheza na wahusika wametengeneza scandal ya money laundering kalipwa chake ili asiendelee kugombea Ubunge.
Nikimfikiria Joshua Nasari huwa haya matukio siyaamini kivile.
Aisee hv hawa fisiem ni lini wataacha kutanguliza ufisie kwanza na kuwa wazalendo na nchi yao.Huyu jamaa angeweza kutoboa huko mbeleni na pengine na kuwa kama malaika mkuu,yy angekuwa kila cku anaenda Kenya
Ni sawa kumtaka kuleta hvyo vyeti lkn atavipata wapi?Nakumbuka nilipokuwa nimemaliza form six naenda chuo 2003 jinsi nilivyo sota kupata vyeti vyangu itakuwa hao babu na bibi?
Aisee we nae umekuja na mpya,Mwenyezi Mungu afe kwa dhambi ipi sasa na ili iweje?maana wewe mwenyewe umesema mshahara wa dhambi ni mauti.acha kuchanganya watu kwa kukariri vifungu vya biblia.Mwenyezi Mungu hana sifa ambazo binadamu anazo e.g kufa,kula,kusinzia au kulala,n.k.Tusome vitabu vya...
Wimbo wa taifa hauna maana sasa hv watu wanaimba kama kasuku tu kwenye kile kipengele kinachosema dumisha Uhuru na umoja hekima,upendo na amani,sitaki kuamini watanzania sasa tumeweka uchama mbele zaidi kuliko uzalendo.Eeee Mwenyezi Mungu nijaalie hv hv kuendelea kuwa sina chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.