Hebu tuthibitishie na huyu mrundiMwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara ndugu Gerad Kabuye ambaye Pia hutumia jina la Samuel na a.k.a Namba 3 si Raia wa Tanzania kwa 100% kwa mujibu wa vyanzo vya uhakika toka kwa ukoo wake kule Kenya pamoja na vyanzo vya Gazeti la Jamuhuri vimethibitisha sio Raia wa Tanzania, kwa Habari zaidi endelea kusoma gazeti la upate kujua CCM wanavyojitahidi kuficha Aibu hiyo.
Pia soma >Mwenyekiti CCM Mara: Mafisadi wa trilioni 1.5 wanyongwe
na DAB?Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara ndugu Gerad Kabuye ambaye Pia hutumia jina la Samuel na a.k.a Namba 3 si Raia wa Tanzania kwa 100% kwa mujibu wa vyanzo vya uhakika toka kwa ukoo wake kule Kenya pamoja na vyanzo vya Gazeti la Jamuhuri vimethibitisha sio Raia wa Tanzania, kwa Habari zaidi endelea kusoma gazeti la upate kujua CCM wanavyojitahidi kuficha Aibu hiyo.
Pia soma >Mwenyekiti CCM Mara: Mafisadi wa trilioni 1.5 wanyongwe
Nani? Mtaje hapa jF hakuna kuficha ficha kituMimi nahoji kule kwenye madini yule mtu Mbona nina mashaka?
CCM makao makuu wanamlinda pia yeye binafsi anatembeza Rushwa kuanzia kijijini kwake, kata, wilaya, mkoa, kanda mpaka Taifa ili kuficha Aibu kwa CCM, huko Uhamiaji wamekula pesa nyingi ili wasimkamate ni Aibu CCM kukumbatia uovu huku wakiwaonea chadema kwa kuwabambikia kesi nk .Gerald Kabuye aka Number 3 ambaye ni mwenyikiti wa ccm mkoani Mara ni mkenya kwa asilimai mia. Hili linatokea baada ya Sylvia Mulinge ambaye aliteuliwa kuwa CEO wa Vodacom Tz kunyimwa kibali cha kufanya kazi bongland.
Je , Kabuye atachukuliwa hatua gani na Serikali ya Bongolala?
Kigogo wa CCM mkoani Mara sio raia wa Tanzania
Mwenyekiti CCM Mara: Mafisadi wa trilioni 1.5 wanyongwe
Wewe hujaisoma katiba.RAIA wa nchi yoyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ktk nchi yoyote endapo taratibu zote za kuupata uraia wake zilifuatwa.
CCM wanamlinda jamaa baada ya kutoa RushwaWewe hujaisoma katiba.
Kuna haki za raia wa kuzaliwa ambazo raia wengine hawana
Taarifa ya Ushuzi!!Asante Ushuzi kwa taarifa
Safi sana sio lazima kuwa na uraia wa kuzaliwa sio.RAIA wa nchi yoyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ktk nchi yoyote endapo taratibu zote za kuupata uraia wake zilifuatwa.
Maelezo ya sentensi yako yanajichanganya.RAIA wa nchi yoyote anaweza kuwa kiongozi wa ngazi yoyote ktk nchi yoyote endapo taratibu zote za kuupata uraia wake zilifuatwa.