Hamidu Mindu
Member
- Apr 14, 2017
- 38
- 27
- Thread starter
- #21
Sawa ahsante kwa ushauri bossUsiwe mbishi wewe geita mahindi mapya yashaingia sokoni tayari. Nyie wenye stock jiongezeni. Wengine tushauza japo kwa hasara
Sawa ahsante kwa ushauri bossUsiwe mbishi wewe geita mahindi mapya yashaingia sokoni tayari. Nyie wenye stock jiongezeni. Wengine tushauza japo kwa hasara
Mkuu hii bei aisee,Mahindi tani 400 ziko tabata warehouse zinauzwa bei Tsh. 600 / kg.
Available maize 400 tons at a tabata warehouse- Dar es salaam , price Tsh. 600/kg.
+255652601602 (whatsApp & call )
Hiyo bei imepungua kwa sasa ni 520 kwa kiloMkuu hii bei aisee,
Umefanya utafiti kwenye masoko lakini??
mbona bei rahis sana mkuuHuko Geita huku Dar ni hiyo bei yako ni uongo
kwenu wapiAisee huku kwetu debe la kg 20 = 3000 kazi kwako
Unalima nn mkuuNdio maana sitaki tena kulima Mazao ambayo kila mtu anaweza kulima
Marvellous and interesting question. Utuambie zao analolima ambalo is quite unique. Labda Bangi...Unalima nn mkuu