Mtoa mada punguza makasiriko!
Inaonekana upo kwa daladala na umeshikiria bomba halafu kuna foleni, ukitupa jicho pembeni unaona watu na vigari vyao wametulia😁 basi unasonya kwa hasira! Enjoy the life u have!😉
Habarini wana jamii,
naomba msaada wa kuyajua haya mafuta tajwa hapo juu. Nahitaji mafuta mazuri ya kung'arisha mwili mzima ambayo ntachanganya na lotion au ntapaka juu yake.
Nataka kufahamu kama hayachubui, na je yana madhara. gani kama mtu alishawahi tumia. Naona yanasifiwa sana, kabla...
Mkuu CoderM, wewe ni mzoefu naomba kuuliza. Nataka kufuga kuku chotara nichukue kloira kuku mia kwa ajili ya mayai tu, ila wakifikisha miezi mitatu nitayapunguza majogoo nitabakaisha wachache pmj na tetea. Lengo atleast kila siku niwe natoa tray moja ya mayai. Kwa uzoefu wako na gharama za...
Habari wana jamii,
Naomba mnishauri, mimi ni mfanyakazi serikalini. Muda mrefu nafikiria biashara ya kufanya lakini nashindwa. Sasa hivi nimeamua kuanza kufuga kuku chotara. Nataka kununua kuku chotara vifaranga mia moja. Nivitunze na kuvilisha vzr, lengo nataka muda ukifika 40 niviuze halafu 60...
Asanteni, kingine nikipiga au kupigiwa wkt mwigine simu ikishakatwa bado kwa screen inaonyesha jina la aliyenipigia huku inaandikwa on going call huku inahesabu dkk yaani km vile simu bado haijakatwa. Lkn inakuwa imeshakatwa. Nimehangaika sana kwenye setting kuitoa hii lkn nashindwa. Naombeni...
Wakuu, naomba msaada, natumia redmi note 9. Scanner haifanyi kazi yake. Inapiga pic kawaida tu haiscan. Naomba msaada nifanyeje. Nikipiga document inajisave kila page peke yake.
Wakuu habari zenu. Na mimi nataka kununua redmi sasa nimesoma sifa zake nimeridhika.
Naomba kuuliza hv tofauti kati ya redmi note 8,9, 10 na note 8,9,10 pro nini. Nataka kujua hiyo pro ina nn cha ziada. Pia naomba mnitajie simu ya redmi yenye bajeti ya kawaida isizidi laki 5, ambayo ina camera...
Wakuu habari zenu,
Kuna video nimeiangalia ndani ya dkk 3 mbwa wameua mtu. Nikaukumbuka huu uzi. Msicheze na mbwa majumbani mwa watu, hata ukiona wametulia usiingie mpk mwenyeji aje jmn. Ni hatari
Pia kuna baadhi ya wanaume ni kero unakuta mwanamke umeenda kulala, ye atakaa sebuleni anaingia kulala anakuta mke yuko fofofo anakuamsha anataka sex kwa kweli hapo ni msalaba. Hata km nilikuwa na hamu ishapote usingizini halafu uje kusema mke wangu hapendi kusex kumbe ni timing tu. Mwanamke...
Mi nafikiri mwanamke ana vipindi vayke vya kuenjoy sex sio kila siku. Bila kutumia madawa wala vipipi yaani automaticall tu unakuea very high mwanamke. Na kuna kipindi unamkuwa huna mzuka hata, unafanya kumridhisha mume tu bora liende. Hapo ndo wengine hawawezi wanaona mateso, ila wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.