Tanzania imeingiliwa na wanasiasa
uchwara ambao kiukweli
wanataka kuwapoteza
wananchi bila huruma.
Hivi ********
wetu wa ccm ni
kweli kabisa unataka
ubunge au unatania.
Mi nashauri mahakama ingetoa tafsiri juu ya hi sheria ili kuondoa mkanganyiko baina ya wapga kura,pia nashangaa xana kuona ccm wamekazana xana kukataza watu wasisimame umbari wa mita 200
Swari kwa magufuri,maendeleo ya taifa hutegemewa sana na uimara wa katiba ya nchi,kwanini mpaka sasa hajagusia kabisa suala la katiba ya wananchi ambayo ilidharauliwa na wanaccm?
acha kujifanya hujui,walipo watu 10,2 wanamsapot mapadrock na wengne 8 wanamsapot LOWASA,Kama hauamin,nenda jichanganye kitaa afu leta story za huyo pombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.