Ni mkweli ndugu, si tandahimba tuu, habari zimesambaa maeneo mengi ya Lindi na Mtwara, mie nipo Nanjilinji Kilwa, huku pia uji unanyweka toka alfajiri.
Mfano wako sio relevance
Tendo la kugegedana linaweza tokea mara nyingi (kwa siku na maeneo tofauti) yawezekana kwel jamaa aligegeda na akagegeda ulivyotoka jela. Ila tendo la kuua (kifo) linatokea mara moja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.