orodha ya vyakula enzi mwalimu jk nyerere

sylivester makongo

JF-Expert Member
Jun 1, 2017
215
81
28d89e62e1291ab084415522ea7fe23f.jpg


Post sent using JamiiForums mobile app
 
pilau sawa na wali kuku?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Nakumbuka mwaka 1985 ada shule ya msingi 20 na ulikuwa unapewa madaftari na vitabu kila mwanafunzi na kitabu chake, sisi shule tulizokuwa tunalima saa nne tulikuwa tunakunywa uji kipindi cha mavuno, ndiyo kipindi cha senti tano na senti kumi zilikuwa zinaishia ishia kwenye matumizi ya kawaida
 
Hivyo vyakula ni enzi ya mwinyi siyo nyerere hiyo bei ni miaka ya 1986-1988
Uongo mtupu hiyo enzi ya mkapa au mwinyi mwishoni
Tena kipindi cha pili cha Mwinyi (1990-1992 hivi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa pilao! hizo bei za 90s hata sio zamani sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hata nyie mnakosea sana tu...kwa hiyo standard ya huo mghahawa hizo ni bei za chakula miaka 2000 hadi 2005, hadi miaka ya 2005 donati na keki ilikua ikiuzwa 50 hii nakumbuka kwenye cafetaria ya shule.. wali umeanza kuuzwa 1000 kwenye mghahawa kama huo miaka ya 2007 huko...sasa hivi miaka 10 baadae utakua ukiuzwa 2000 kwenye hiyo hiyo mgahahawa kama utakua una exist kwenye hiyo condition yake
 
Naona hata nyie mnakosea sana tu...kwa hiyo standard ya huo mghahawa hizo ni bei za chakula miaka 2000 hadi 2005, hadi miaka ya 2005 donati na keki ilikua ikiuzwa 50 hii nakumbuka kwenye cafetaria ya shule.. wali umeanza kuuzwa 1000 kwenye mghahawa kama huo miaka ya 2007 huko...sasa hivi miaka 10 baadae utakua ukiuzwa 2000 kwenye hiyo hiyo mgahahawa kama utakua una exist
Uko sahihi mkuu nimekumbuka wali sahani mwaka 2006 UDSM cafeteria tulikula kwa Sh 750

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei za juzi tu wakati wa mkapa anatoka madarakani vitu vilikuwa bei cheee tu hata watoto wajuzi watakubishia ngoja nizame chimbo niibuke na bei zetu wahenga miaka hiyo radio inapatikana kwa mwenyekiti wa kijiji au mtaa muda wa taarifa ya habari mnakusanyika kusikia nyerere kasema nini au akiwa anahutubia taifa
 
Back
Top Bottom