Aliyetoa wazo kutoka TCRA kufungiwa kwa JF ndiye aliyemdhalilisha zaidi mgombea wa CCM. Ametoa mwanya kwa watu wengi kufuatilia hizo picha na kuzi term in negative way. Nafikiri wangeanza na huyo jamaa aliyeona kama anajenga kumbe anabomoa. Uchawa ukizidi unaharibu mambo badala ya kujenga.
Naenda na
Dotto
Makonda
Mpina
Naongeza na PM Kassim Majaliwa...
Bashungwa naona wa kawaida sana.
Gwajima porojo nyingi
Bashiru siasa kali anaonekana ana balaa.
Akili zetu bado zipo kuwaza kula, maana yake tunawaza leo hatuwazi vizazi vijavyo. Tukiacha kufikiri kwa tumbo na kufikiri kwa ubongo tutaelewa jinsi wanaojiita viongizi ni hopeless...
Kwenye ulimwengu wa biashara, kuna kitu pia wanakiita ujasusi wa kibiashara, ambapo pia hauko mbali sana na ujasusi wa aina nyingine kama ulivyoainisha katika mada.
Ili ufanikiwe katika biashara ni lazima ujifunze kuwa jasusi wa kibiashara na msingi wake tayari umeainisha..
Kingine pia cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.