Sorry to tell u this, umri huo ulionao ni ngum au ni nadra kupata mschana wa kuwa nae serious au mahusiano stable kwasababu mschana wa umri wako unayemtaka kwa sasa ndio yuko kwenye peak! Wanaume Wengi wanamtaka tena probably ni high value men lakini thamani yake inaenda ikishuka Na wewe bado...
Akili akili akili[emoji2356]
Wanawake tungelipewa nafasi ya kutumia akili hata 40% kuliko emotions tungekuwa watu hatari sana…
Mimi ningekuwa ni yeye nishakusoma ni mtu wa aina gani na huwezi kunioa ningekusomea ramani miaka kama miwili ningetulia ningekuwa kama malaika hata ukikosea msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.