LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,717
Kama kila siku unaondoka saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku.
Tutafanyia kazi gani sasa? Zaidi ya kuweka simu tu zipate chaji ili kesho tupate tu hata mawasiliano.
Ni serikali gani hii ya ajabu isiyemjali mwananchi ambaye kutoka kwake ndiyo kula kwake.
Haya yote mtaenda yajibu kabla ya mwaka 2099 tukutane paradise
Tutafanyia kazi gani sasa? Zaidi ya kuweka simu tu zipate chaji ili kesho tupate tu hata mawasiliano.
Ni serikali gani hii ya ajabu isiyemjali mwananchi ambaye kutoka kwake ndiyo kula kwake.
Haya yote mtaenda yajibu kabla ya mwaka 2099 tukutane paradise