Recent content by Tinted Ruksa

  1. Tinted Ruksa

    Nawauliza wajameni, Mbunge wangu S.H. Amon wa Rungwe yupo?

    "Huyu mbunge wetu"!!!!!???na nani...?nyie ndio mnaoamini mpaka leo nyerere plezdaa.yaani kwa akili yako mbunge wenu ni wetu.haina haja ya majimbo sasa
  2. Tinted Ruksa

    Ushauri: Bado miezi 3 ya harusi, mpenzi wangu ananiambia hanitaki tuachane

    Utakuwa una samaki aina ya "kigebuka"(kibamia)mkuu.amejitahidi kukizoea mwishowe kashindwa sasa kapata samaki aina ya "sato"(kiazi kikuu).we wa nn sasa.ikubari hali yako mkuu
  3. Tinted Ruksa

    Manji aliamsha dude; ameahirisha safari ya Yanga kesho kwa gari, watasafiri kwa ndege

    We kweli shabiki wa simba.huko uliko nahisi hata haja kubwa imekutokaaaa...neno manji tu ndo uandike maandishi ya hasira namna hii!!!sio bure wewe lazima utakuwa umemeza wembe aina ya lion.ili usiliogope hili neno manji,mpe mwanao jina hili la manji au kama we n tasa ama mgumba,kipe kitu...
  4. Tinted Ruksa

    Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

    Hazijulikani hizo ndege.hata wao hawajui kama zinapita.in short ni zile zisizojulikana
  5. Tinted Ruksa

    Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

    Kutoka jamboforums.com mwaka 2006 mpaka kuwa jamii forums mwaka 2008 ni takribani miaka 9 hivi...kwa nn usigundue miaka hiyo kama kuna wazee!!!!au umeanza kutumia smart 4n wakati wa makinikia!!!!?"PAMBANA NA UGUNDUZI WAKO"
  6. Tinted Ruksa

    Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

    Huyo mmoja ana miaka 63 na hao wengine kwenye hiyo picha wapo form 2!!!!?wewe uliyeandika bila heshima una miaka mingapi?"PAMBANA NA HESHIMA YAKO"
  7. Tinted Ruksa

    Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

    "PAMBANA NA HESHIMA YAKO"
  8. Tinted Ruksa

    Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

    We hujui kuwa wazee nao hawana heshima,kama wewe ulivyokuwa huna heshima..!!hapa ni hoja kwa hoja ama tusi kwa tusi.laana haiji kwa kutokujuana bali huja kwa kujuana."PAMBANA NA HESHIMA YAKO.
  9. Tinted Ruksa

    RPC wa Geita (Mponjoli Mwabulambo): Siwezi kuwaomba radhi CCM (Kukamatwa kwa Mbunge Musukuma)

    Kuna jitu moja linajiita "mwangangafyelile majabhijabhi muntu syompu pyutulata sosyako akandu mwikosi"huyu wa ukweli kabisa[emoji23][emoji23]
  10. Tinted Ruksa

    RPC wa Geita (Mponjoli Mwabulambo): Siwezi kuwaomba radhi CCM (Kukamatwa kwa Mbunge Musukuma)

    Kweli kabisaa ughwe ujobhile isya naloli.mfano saimon....... ni diwani mnyaki,mozes...... ni diwani mndali na jivava....... ni diwani mkinga nk[emoji122][emoji122]
  11. Tinted Ruksa

    Kwa nn mange anamwandama sana diamond kuna nini nyuma ya pazia?

    Alivyoandika haya maneno "nanidham ama dinigan"inatosha kujua kama hayuko sawa.
  12. Tinted Ruksa

    Kwa nn mange anamwandama sana diamond kuna nini nyuma ya pazia?

    Akirudia tena kuandika upupu,basi atakuwa anawashwa washwa.
Back
Top Bottom